shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Niambie mama watoto wanguBaba watoto
Niambie mama watoto wanguBaba watoto
Alfajiri ndio muda wangu wa kwenda jijiniShemeji hapo nilipita usiku sana wakati wa kurudi nilipita alfajiri sana
Timu zinasajili vikongwe tuNamba 02 ..
Okwi huyu karudi simba @EmmanuelOkwi akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hanspoppe baada ya kusaini kuitumikia Simba miaka 2...
![]()
Walimtungua jana aisee, sijui tatizo ni niniNamba 01 ..
Mke wa Waziri Mkuu mpya wa Lesotho, Dipolelo Thabane ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulika muda mfup baada ya mume wk kutambulishwa ... 😕 😕 😕 😕![]()
Thanks Lee mutu ya pesa mingiWakuu hizo ni baadhi ya updates kwa leo kwenye 10 zilizobamba #kapuku_updates
Nzuri shedede, mbona unapotea sanaWakuu habar zenu
Habar za siku??
Helmut Kohl ;Namba 10...
Aliyewahi kuwa Kansela wa Ujerumani, Helmut Kohl amefariki dunia akiwa na miaka 87, aliongoza nchi hiyo kati ya mwaka 1982-1998. ...![]()
KaribuTuko pamoja mkuu
Asante dada tumshukuru mungu kwa kutupigania katika maisha yetu

Bado wanaeeKumbe Ana makosa mengi!!!! Niliskia alilipaga faini ya 200 million nikadhani ndio yameisha kumbe bado ! Loh!!!
Asantee mkuuWakuu hizo ni baadhi ya updates kwa leo kwenye 10 zilizobamba #kapuku_updates
MkuuKijana
Apumzike kwa amaniNamba 01 ..
Mke wa Waziri Mkuu mpya wa Lesotho, Dipolelo Thabane ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulika muda mfup baada ya mume wk kutambulishwa ... 😕 😕 😕 😕![]()

Mkuu kwemaaGood evening..
Umsikie Umirahel akitaja hilo jina hadi rahaHelmut Kohl ;
He was the father of Germany Reunification and the Architect of Eurupean integration..
Huyu jamaa ni mmoja wa watu walioshawishi uwepo wa aina moja ya fedha kwa nchi za ulaya. £(Euro)
Kohl akiwa na Bill Clinton wa marekani.![]()
Kohl akiwa moja ya kwenye mikutano ya European Union.![]()
Amestaafu mwambo ya kisiasa toka mwaka 2002..
Rest in peace Kohl.
Maisha ya ule UZi ni mafupi zaidi ya Umeme wa LUKU
Nyie jamaa mmenifanya nichekeHaaaaahaaaa mkuu umeua, ni kweli sema hapa wengi hawajui