Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mmmh aiseeMuulze vzr utaelewa tu
Anakujaa kuliamshaaa dudeeesimba wanakera kuna mda okwiiii wa niniii
Mwambie na wewe labda atakusikilizaMme wakoo
Mama wa moyooBaba D asante ubarikiwe
Niongeze tuu.Namba 05 ...
Polisi wamethibitisha kwamba idadi ya watu waliofariki kutokana na janga la moto kwenye jumba la Grenfell Tower London Uingereza imefikia 30 ..
![]()




Kutoka baby mpaka mkuu ...walisemaaSina kitu mkuu
LooooooohTafadhali ee...
Ndio mmwambie sasaKweli kbsa,tatzo mume hajui kama kaachwa hapo
Camera mbovu mke mweeepicha jamaan
HaswaaaNaelewa sana,hivi ndio uko na ujauzito wake utauchuliaje? heshima ya mume inapaswa iendelee kuwepo tu
Unapotezwa aiseeNiongeze tuu.
Leo waandamanaji wamemtolea uvivu waziri mkuu wao Theresa May alipofika eneo la tukio kwa ajili ya kujionea athari zilizotokea.
Shukrani kwa jeshi la polisi la West london kwa kumlinda Waziri mkuu. Hali ilikuwa mbaya mno ametupiwa maneno ya dhahaka na matusi..
Moja ya maneno ya waandamanaji ni ;
1. What is she doing here?
2. She is going back to her nice cosy home..
3. Murderer
4.Coward
5. Get the **** out..
Hayo ndio maneno ya waandamanaji kwa Pm Theresa May wakiitaka serikali ijibu lini haya majanga yataisha na ni kwanini yametokea..
May akiwasili.![]()
Theresa may akutana na shubiri ya waandamanaji.![]()
![]()
![]()
Sasa Tz mtukane PM uone..
Unashabikiaa timu ganiii![]()
![]()
![]()
mbavu zangu mke mwee umeufanya usiku wangu uwe mzuri kabisa ni kweli pasua kichwa mama sema ndio hivyo mahaba niue huna la kufanya ukipenda boga upende na ua lake
Shimba njooo hapaMi sio wako tena
![]()
![]()
![]()
kwahiyo hiyo avatar uliyoweka hujui ni ya nani hujui inahusu niniYour son hakeem ndo nani?? au ndo mambo ya ciimba