Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
We acha tu shem wane![]()
![]()
![]()
ni linamo
We acha tu shem wane![]()
![]()
![]()
ni linamo
Na kwako pia T wa SWakuu..
Usiku mwema
R.I.P ya nini boss
Yuko alive sitaki kuamini kuwa sipo nae jumla
nyagei ebu hurumia mbavu zangu shem
ugonjwa wa mapenzi ni mbaya sana haujawahi kumuacha mtu salama ila usiwe na wasi shem cuzoo atakuwa hana simuWe acha tu shem wane
Tafadhali kama unajua alipo please mwambie namuhitaji asizidi kunipa vidonda vya moyo![]()
![]()
![]()
nyagei ebu hurumia mbavu zangu shem
Tafadhali kama unajua alipo please mwambie namuhitaji asizidi kunipa vidonda vya moyo
umenifanya mpaka nimemtafuta kwenye simu nimpigie sioni no yakeSawa nakusikiliza shem waneugonjwa wa mapenzi ni mbaya sana haujawahi kumuacha mtu salama ila usiwe na wasi shem cuzoo atakuwa hana simu
Halafu siku imekuwa mbaya ghafla![]()
![]()
umenifanya mpaka nimemtafuta kwenye simu nimpigie sioni no yake
Sawasawa!Sijajiita bali watu wananiita
Ndugu + marafiki kuanzia shule hadi chuo waliniita hivyo kutokana tu na jinsi ninavyovaa
Si unajua "majungu" ukiwa smart wanakuita bishoo/tozi...ukiwa rachafu/rafurafu wanakuita mshamba
Hivyo kwangu wala sikumind kuitwa toz
Na ndo sababu nalitumia hata hapa JF
.......
nini shida shemHalafu siku imekuwa mbaya ghafla
MANCHESTER UNITED 17/18 LEAGUE SCHEDULE
![]()
Bila kusahau leo pia Victor Lindelof kakamilisha usajili United
![]()
Cc Bitoz
Cc Mussolin5
Cc Nyagei
Cc Shunie
Cc Transcend
