6/
Zimbabwe
Hii ndo nchi maskini # 2 barani Afrika kiasi cha kutoka kurejea kwenye
Barter Trade (nipe almasi nikupe mbuzi) ila ikaamua kuanza kutumia dola ya Marekani na Rand ya Sauzi maana pesa yao imeporomoka hatari
Mgodi maarufu unamilikiwa na kuendeshwa na
Rio Tinto
Almasi ya Komredi Mugabe hufikia hadi thamani ya USD 540 Milioni kwa mwaka
Huzalisha Carats 10,400,000 kwa mwaka
.......