Makapuku Forum

Materials tumejaa sana mbona
Aaa wapi! Wanawake wapo wa kulala nao tu lakini ukianza kutafuta yule mmoja wa mpaka kifo aisee ni zoezi pevu. Hasa ukiwa umeshamaliza vihitaji hivi vya msingi msingi kazi ni ngumu zaidi kwa sababu huwezi kujua kama mtu anakupenda wewe kama wewe au anapenda hivyo vihitaji hitaji vyako ulivyonavyo. Ni kusali na kuomba sana japo nadhani pia kwa hali ya sasa si lazima sana kuoa...Jaza Ujazwe!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…