Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
baada ya kushiba togwa na ugali maharage leo mchana nikapata utulivu na kuwaza cha kuandika ila kila nikiingia mitandaoni nasikia tu makelele "mchanga wa madini" baada ya kupitia kwa makini nimegundua madini yapo dunia nzima isipokuwa tu sisi hayatunufaishi kutokana na kukosa viongozi wazalendo
Nchi nyingi mfano China na USA zinanufaika na rasilimali zao chache na hawaachi kitu....

Sasa basi tuangalie nchi 10 vinara wa kuzalisha dhahabu duniani yaani nchi ambazo huchimba madini ya dhahabu nchini mwao au ambazo migodi yao inazalisha dhahabu nyingi
Kumbukeni mgodi ni rasilimali ya nchi siyo wawekezaji
Karibuni
......
 
TOP TEN
baada ya kushiba togwa na ugali maharage leo mchana nikapata utulivu na kuwaza cha kuandika ila kila nikiingia mitandaoni nasikia tu makelele "mchanga wa madini" baada ya kupitia kwa makini nimegundua madini hapo dunia nzima isipokuwa tu sisi hayatunufaishi kutokana na kukosa viongozi wazalendo
Nchi nyingi mfano China na USA zinanufaika na rasilimali zao chache na hawaachi kitu....

Sasa basi tuangalie nchi 10 vinara wa kuzalisha dhahabu duniani yaani nchi ambazo huchimba madini ya dhahabu nchini mwao au ambazo migodi yao inazalisha dhahabu nyingi
Kumbukeni mgodi ni rasilimali ya nchi siyo wawekezaji
Karibuni
......
Karibu
 
10/Uzbekinstan
a4477aa78bfa6a34da6b63e3f4311a0d.jpg
1437c1e4628524b24aa21b16c7a166e3.jpg
3f5df53643abd28f1b65d86bc1a2e704.jpg
Inapatikana huko barani Asia
Ikiwa ni jirani yake na akina Pakistan,Azerbaijan n.k
Migodi yao mingi mi mali ya Taifa(imetaifishwa)
Mmiliki/mgodi mkubwa ni Navoi Mining
Inazalisha Kg 90,000 za dhahabu kwa mwaka
Siongelei mchanga wa dhahabu mimi
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom