Makapuku Forum

Inaumiza ndiyo but we are still doing the same. Huoni mawigi, mikorogo na upuuzi mwingine wa kuabudu kila kitu cha mzungu? Bado wanatudhalilisha tu japo sasa tunajidhalilisha wenyewe. Nothing has changed!
una point ya msingi broh lakini kuna baadhi ya mambo atuwezi kufanya mpaka msaada wa hawa jamaa,
wametupiga gap kubwa kwenye maendeleo ndio maana bado tuakuwa watumwa
 
FIFA WORLD CUP U20 FINAL
Venezuela walikosa penati dakika ya 77
Vijana wakisheherekea ubingwa wao
Furaha ya ushindi
Vijana kutoka Academy ya Everton FC

SOLANKE NDIYE MFUNGAJI BORA
Mshindi wa Golden boot Solanke
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…