dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Heri ya kuzaliwa bwana Mondray kumbe ni bado bwana mdogoHongera Mondray![]()
Heri ya kuzaliwa bwana Mondray kumbe ni bado bwana mdogoHongera Mondray![]()
Mruhusu aende kwa cheusi dawa atatuwekea mke mweeekweli shemela ebu tuombee msamaha
ThitaaaaakiiiMruhusu aende kwa cheusi dawa atatuwekea mke mweee
Uongo huo shemela wala halagi hayo mavituNdo msosi wake
Poa karibuHabar za jion humu ndani
Kwani hutasemaaUongo huo shemela wala halagi hayo mavitu
Asantee..!!Poa karibu
Kwema huko uliko??
hahaahhaNgoja mama watoto amalizie maandalizi
ndio huyuHongera Mondray![]()
Baba DSahauu
binamu ndio anaekuwekea hela siku hiziPesa anayo bhinamu
Unauliza jibu shemelandio huyu
mke mwee hapa hakuna kulaumiana tuungane tuombe msamahaOooh umenigeuka tena
tusilaumiane mke mweeWw c umeomba nikukopie jaman
![]()
![]()
lakin hali machips wala mayai ya bila jogoo
wanaokula hivyo wakina nanii sasa una ugomvi na watu ujue sikuteteii
Bora acweke tukome wote![]()
![]()
ujue umevurugwa me mwenzio anaweza kunihadithia haya wewe hapo si unakosa
sanaa Baba D muelewa sanaAtatisamehe na ataendlea kuweka shemela wngu mtu mwelewa sana