Makapuku Forum

Mkuu tunataniana lakini tuna mipaka. Maneno ya kuudhi tunauaepuka ndg yangu, kibaya zaidi Valentina anajiheshimu sana kwa posts zake hajawahi udhi mtu.
Nia yangu ni njema ukiwatibua makapuku kwa umoja wao watakushambulia
Hata mimi naelewa kuwa tunatania tu kaka

Valentina hata mimi sijawahi kuona posts zake kaudhi mtu kwa kweli

Valentina namuheshimu sana tu hata yeye anajua hilo

Nimeandika muungano wa vik""ojo"""leo nikiwa namaanisha kuwa tunataniana tu na Valentina wangu


Jf na iheshimiwe na watu wote milele Ameeeeen
 
Sawa mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…