Makapuku Forum

Shululu usimsaidie bagheshi kufukua makaburi.... Makaburi mengine hayafukuliki.
Ni aibu kwa mwanaume kumtongoza mke wa mtu mpaka anakushinda unabwaga manyanga na kuanza kumuita dada; na mumewe eti ndiyo anageuka na kuwa swahiba wako mkuu. Mtongozaji, mtongozwaji na mtongozewa wote majiganyanza katika hii ishu - something is not right.
 
Mkuu nakupa vilivyoooo.....

Ngoja nimalize tizi hapa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…