Shambalai eeeh! Nilikuwa na rafiki yangu Mchungaji wa kike wa kanisa fulani hivi alikuwa Msambaa mweupe peee. Ndiye alinikomaza katika "neno". Shikamoo Tanga!!!
Shambalai eeeh! Nilikuwa na rafiki yangu Mchungaji wa kike wa kanisa fulani hivi alikuwa Msambaa mweupe peee. Ndiye alinikomaza katika "neno". Shikamoo Tanga!!!