Unaongea kwa kujiamini saaana....
Anyway, karibu jf mie naitwa Sakayo mke halali wa T, dadake Shunie na shemeji wa watu wote humu ndani....
Asante kwa kunipenda ila mie tayari ni mke wa mtu!!!!
Karibu jf kuwa free, ila heshima iwepo...... Nakukumbusha tu mie ni mke wa mtu.....
Take care
Hivi mbona unaandika kama mondray...Sina hata nguvu ya kukusanifu mrembo.
Nikusanifu ili iweje? Nitapata faida gani hasa?
Kiufupi sina sababu ya kufanya hivyo mrembo wa nguvu!
Na hilo ndo jibuMy dada ndio ameshasema
Ndio mkuu huyo mamu atakuwa muuaji huyooUmeimalizaaa ??
Karibu mkuuTOP TEN
Week end uanza Ijumaa hivyo kama kawaida yangu baada ya kuijngiza mbuzi bandani kutoka malishoni nikashtua togwa kidogo na vitumbua vya 300/= na kujisikia fresh...Now nashusha 10 kubwa zen naendelea na starehe zangu
.
.
Km kawa Ijumaa hatujadili siasa wala uchumi
Hakuna ubishi kwa Tanzania Mama Salma Kimwete ndo First Lady mwenye mvuto wa sura na umbo kuliko wote ....huyu mama Janet ana sura ngumu jamani
Sasa basi nakuletea Mafirst Lady 10 wenye mvuto zaidi barani Afrika kwa mwaka 2016 hivyo wengine inawezekana wameshaondoka Ikulu
Karibuni
.....
Umeanza eeehNinyonge km umenuna
Acha kuquote story yote ungecomment angeona tu
Waaleyqum salaaam habari yakoAsalam aleykum
HahahaHivi mbona unaandika kama mondray...
Naona futuru tayariWaaleyqum salaaam habari yako
Haha ndio karibuNaona futuru tayari
Thanks kwa kujali sakayo.Unaongea kwa kujiamini saaana....
Anyway, karibu jf mie naitwa Sakayo mke halali wa T, dadake Shunie na shemeji wa watu wote humu ndani....
Asante kwa kunipenda ila mie tayari ni mke wa mtu!!!!
Karibu jf kuwa free, ila heshima iwepo...... Nakukumbusha tu mie ni mke wa mtu.....
Take care