Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni uamuzi wake binafsi mdau
Mru akiwepo huku huwa nafurahi pamoja nae na akisepa ni uamuzi wake hata nikikutana nae mitaa mingine simuulizi
Tumia kila muda unaopata kuwa na marafiki kufurahi...ni km maisha ya kielimu ambapo msingi ulikuwa na marafiki mkaachana,sekondari hivyohivyo na chuo pia...... ni wachache ambao mlipomaliza masomo mliendelea kuwa marafiki
Hivyo furahi na hawa waliopo humu leo.......ni wachache ambao walikuwepo mwanzoni na bado wapo hawa ndo watu wa shida na raha matokeo yake tumekuwa marafiki hadi nje ya JF

La msingi ni kuishi vizuri na kila MTU na km hujawahi kumfanyia mtu jambo baya basi hata akiachana na wewe bado utaendelea kuwa na furaha na amani moyoni
Life goes on !!!
.......
YES It has to go,very powerful
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom