shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kweli kabisa mama mchungajiHahaha zuia ulimi usiseme mabaya dear
Kweli kabisa mama mchungajiHahaha zuia ulimi usiseme mabaya dear
UshanikatazaaaAdithia basi si unajua ninavyopenda story
Unacheka nn
Ya mama mchungaji na baba mchungajiShemela sitaki presha kabisa mimi
JamaanAta salamu hujanipaaa
Shikamoo mama D
naomba basi unisamehe Baba D wangu lakini nilisema nakusalimia mimi
Jamaniiiii nimewadanganyaaaMbona umesema jioni kama unajua nilikukataza
Asante zimefika, hata familia ya Mr and Mrs shululu inawapenda sanaMsalimie sana shemela mwambie familia ya Lee inawapenda sana
Nakupendaje jamaniiiUsinifanyie hivyo Baba D
Yupoo mwingineMmmmmh naniii kama sio huyu
Nzuri mkuuPoa za siku 2 tatu!!
upuuzi wa lee me siutakiUlikuwa upuuzi wa lee
Hivi nimeropokaa ??Kwani nani kasema umenitongoza?!
Jana ni kweli tumeshinda ote lakini hajaakuuliza MTU sijui kipi kimekufanya uropoke
![]()
![]()
![]()
![]()
Bwanaaaa bwaaaanaaaahBaba D acha kabisa huku dompo ipo pembeni![]()
![]()
Kapuku jana hakuzima data sijui alijazwaa??Mlishinda wapi
Ubarikiwe dingimtoto![]()
asante mama mchungaj
Wanatutakiaa nn jamanShemela sitaki presha kabisa mimi
Basi yasiendelee tenaUshanikatazaaa