Natumai ameshatangulia mbele ya haki sasa May he R I PUsitie shaka hakuna uwaribifu unaoweza tokea baiana ya kaka na dada labda upenda wa Agape tu....Kuna jamaa yeye alipewa kilikuwa kimzizi anakitafuna akikutana na msichana aliempenda anakitafuna chochote anachokueleza huruki hata kama ulikuwa unaenda church utageuza umfuate aendapo na mkishamaliza tu tendo pendwa ndo fahamu zako zinakurudia ila too late..
Damtanzania ni kifupi cha Dada Mtanzania ...umejichanganyaKwa sizzy007 na young blood na dam Tanzania woteee
Jimena msome sumbai kanisaidia kujibuKwa sizzy007 na young blood na dam Tanzania woteee
Hahahahahahahakwenye sahani
Upendo upi samoo anautaka kwako!Ndio kinacho fuata....umejuaje
Kupendana pendo la agape ni amriWa agape mkuu.
Uje uubariki
Si unajua tena mkuu tena ile ya Milestone....Hahaha supu ya ulimi, ili uwe na maneno matamu eee
Arusha night park vip mkuu!Si unajua tena mkuu tena ile ya Milestone....
"Umeficha" joining date ya Jf....orodha inawahusu from 2014 tu but kuchat ni free kwa kila MTUmkuu Bitoz niongeze kwenye orodha hapo juu. naomba makapuku wote tupeane mawazo chanya namna ya kujikwamua kiuchumi. anayeona hafit katika kundi hili asiwe wa kwanza kutukatisha tamaa.
Swali zuri sanaMkuu wewe unajishughulisha na mambo gani haasa?? Kiuchumi
mkuu, mimi sikubaliani na maoni yenu haya kwa 100%. hakuna ubaguzi kihivyo humu jf ila kuna ubaguzi wa mtu mmoja mmoja kumbagua mwenzake hapa na pale na hilo jambo huwa halikosekani katika jamii yeyote ile.Mkuu haujakutana na khadia za ubaguzi wa majukwaa flani ndio maana unadhani humu wote ni sawa, ila kiukweli we are not, there are two blocks ambazo ziko ktk battle ya chini kwa chini, chunguza vizuri utajua.
Ndio tunatii amriKupendana pendo la agape ni amri
Tulipo wahaya kaupendeleo kapomkuu, mimi sikubaliani na maoni yenu haya kwa 100%. hakuna ubaguzi kihivyo humu jf ila kuna ubaguzi wa mtu mmoja mmoja kumbagua mwenzake hapa na pale na hilo jambo huwa halikosekani katika jamii yeyote ile.