Makapuku Forum

[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hampaswi kuwapa "sirI" tunayoyaongea huku
Yaani mmewaelezea kila kitu
Siku wakiiga mtaanza kulialia
Nashangaa hakukuwa na ulazima wowote kwenda kule kufafanua
Ni km mnamuelekeza jirani jinsi ya kutengeneza juisi tamu ambayo wewe unaiuza
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Tuliokaa kimya tunajua sababu ya kufanya hivyo
Kafuteni bhana


......
 
Asante bitoz kwa top ten
Sisi binadamu tungekuwa kama hao samaki ingekuwa raha
 
Neno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…