Makapuku Forum

1968 - Robert F. KENNEDY anafariki Dunia siku moja baada ya kupigwa risasi huko Los Angeles alipokuwa anafanya kampeni za Urais.

The Kennedy Curse:

Huu ni msemo unaorejelea Vifo tata vya wanafamilia wa Kennedy.

Wanafamilia wengi wa Ukoo wa Kennedy wamekufa vifo vyenye utata mkubwa na vya kuhuzunisha. Inaonekana kama kuna watu kadhaa nyuma ya mpango huu wa siri ambao hawakuipenda kabisa familia ya Kennedy ishike madaraka ya aina yoyote nchini Marekani.
 
2016 - Taarifa mbalimbali zisizo rasmi zinadokeza kuwa Bibie Hillary Clinton huenda akatangazwa kama Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Democrats na kuwa mwanamke wa kwanza kufanya hivyo katika miaka 240 ya historia ya Marekani.
 

Alizaliwa mwaka 1889
Alikuwa ni Jaji wa Mahakama Kuu ya New York
Mara ya Mwisho(last seen) ilikuwa ni alipotembelea West 45th Street huko Manhattan ambapo alionekana akitoka kwenye mgahawa maarufu
.
.
.
Ombi lako litashughulikiwa
.......
 
1969 - Fernando Redondo anazaliwa.

Kiungo fundi wa Kiargentina ambaye pia aliwahi kutamba na Real Madrid na Inter Milan.

Anakumbukwa kwa kumpiga tobo beki wa Man Utd Hening Berg kwa kisigino katika pambano la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
 

Mmoja kati ya ukoo wenye nuksi zaidi duniani

Tumeaswa kuchunguza koo wanazotokea wachumba/wapenzi wetu maana kuna koo ni balaa
.......
 
Amen mama mchungaji, nawe pia siku njema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…