Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170605-WA0011.jpg
 
Kama kawaida yangu ni mwana wa makapuku forum ila huwa nazunguka sana huko mitaa mingine
Nimeingiia kule jf chit chat mtu kaweka uzi eti hajawahi kuielewa makapuku forum
Na nawaambia hawawezi kutuelewa kamwee

Makapuku forum hoyeeeeee
Sisi tunasonga tu
 
Sure!! Sisi kilio chetu kikuu ni hiki, kama tumeamua JF iwe ni social network ya watu wote basi each member should be treated with dignity and equality. Tabia ya mtu akichangia kitu unakimbilia kwenye profile yake kuangalia ana muda gani jf na ana likes ngapi pamoja na followers afu unarudi kumpa maneno ya kejeri ni upuuzi inaobidi ufe.
Kweli kiongoz,
 
kuna wakati kuna vitu vinajitokeza kwa makusudi katika haya tunayofanya humu ndani.. Wengi tunawapa ustar Usiostahili.. Hawana wanachokiandika zaidi ya ujinga.. Tupo hapa kujenga na kurudisha Heshima ya Jf nzima... Hatuwezi kuwapandisha wale wasiostahili.. Tusimame imara
Mmemsikia ibra87
 
Hii ni thread maalumu kwa ajili ya vijana kukutana na kujadili mambo mbalimbali kuhusu maujanja ya maisha pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili maishani pamoja na za Jf

Tusipangiane cha kupost
.........................
Naikumbuka vizuri hii prezdaa
 
Ndio sisi ni Makapuku kweli na kwa sasa tuko kwenye harakati za kupigania haki sawa dhidi ya wale wanaojiita wakongwe, kama hujaelewa unaruhusiwa kuuliza tena
Ikajibiwa na mrembo jimena
Makapuku raha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom