Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
Sio kwamba wote wako, ndo Lee akawa anataka wa kike![]()
![]()
wa kwangu ni mmoja apo na wa mama mchuchu mmoja nilikua nataka nijue wa kwangu ni yupi
Sio kwamba wote wako, ndo Lee akawa anataka wa kike![]()
![]()
wa kwangu ni mmoja apo na wa mama mchuchu mmoja nilikua nataka nijue wa kwangu ni yupi
Kweli kiongoz,Sure!! Sisi kilio chetu kikuu ni hiki, kama tumeamua JF iwe ni social network ya watu wote basi each member should be treated with dignity and equality. Tabia ya mtu akichangia kitu unakimbilia kwenye profile yake kuangalia ana muda gani jf na ana likes ngapi pamoja na followers afu unarudi kumpa maneno ya kejeri ni upuuzi inaobidi ufe.
Kama huelewi pita hiviiDu! Mi huwa siuelewi huu Uzi, kila nikiingia siambulii kitu
Mmemsikia ibra87kuna wakati kuna vitu vinajitokeza kwa makusudi katika haya tunayofanya humu ndani.. Wengi tunawapa ustar Usiostahili.. Hawana wanachokiandika zaidi ya ujinga.. Tupo hapa kujenga na kurudisha Heshima ya Jf nzima... Hatuwezi kuwapandisha wale wasiostahili.. Tusimame imara
Napitia tulipotokamweka hazina nipo
Naikumbuka vizuri hii prezdaaHii ni thread maalumu kwa ajili ya vijana kukutana na kujadili mambo mbalimbali kuhusu maujanja ya maisha pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili maishani pamoja na za Jf
Tusipangiane cha kupost
.........................
Sizzya007Moyo wangu unafarijika.....
Salute kwa founder members wote
President Bitoz (BishopTembo)
Vice Pr. Jimena
Prime minister Th name
Nahrene
Cute B
Ibra 87
EMMYGUY

Ilikuwa ni post ya 146 ndio kwa mara ya kwanza kujiunga hapa thanks makapukuSasa hiki chama chenu cha makapuku hua wote humu ni makapuku kwelii? Au sielewi maana ya makapuku hebu nisaidieni kina bitozi na jimena
Ikajibiwa na mrembo jimenaNdio sisi ni Makapuku kweli na kwa sasa tuko kwenye harakati za kupigania haki sawa dhidi ya wale wanaojiita wakongwe, kama hujaelewa unaruhusiwa kuuliza tena
Kichwa changu kilikuwa fast kung'amuaBado umeniacha ina maana makapuku ni watu ambao hawathaminiwi hapa jfau nitakua nimekosea dhidi ya wakongwe?
Najiona mimiOk now nimeelewa kazi kwelikweli basi hata mimi ni mmojawapo ati hahahaaa
Nikakaribishwa asante jimena uko wapi mremboKaribu sana mkuu, ili kuweza kuingia kwenye list mPM Th Name nae mara moja atafanyia kazi ombi lako
Wa kwanza husijifanye humjui mwanaomtoto wangu me ni yupi hapo