Makapuku Forum

Waarabu mpaka leo huwa siwaelewi kuhusu kushindwa kwao katika vita hivi...
 
Mzee wa mikwara. Alivyokuwa anawapiga mkwara wanajeshi wa Marekani wakati wanavamia Iraq mpaka leo ni case study of how to do propaganda. Baada ya kuanguka kwa Saddam Wamarekani wakaona hata hakuna haja ya kumfunga. RIP Mzee Azziz!
Namkumbuka jamaa alikuwa bingwa wa propaganda
Hadi kuna jina walimpachika
Akina Polepole na Mwakyembe itabidi wamuige

.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…