Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuuu sina la ziada ...

Ombi naomba mnambie hii segment tuiitejee mwendo wa mapicha nina stock ya kutoshaa ...sijui hiwe fix za lee /upuuziii extended au pita pita ya lee ...kapuku raha sana aiseeeeh ..
93dade0a931bd0dc289826a32ba2eef8.jpg
Uendelee tu upuuzi wa lee
 
Yaap hata mimi nilikuja kipindi cha mvua...

Nakumbuka nilienda chuo cha NIT ndio wakanielekeza hapo ...

Daaah! Asante kaka kwa kunikumbusha mbali...
5395f303a8d0806580746f51774aad1d.jpg

38c71a5a026fc506aed64790fc077cda.jpg

Hivi ndo vyoo vyetu kipindi cha mvua "tunavitoboa" mzigo wote unaelekea huko
Yale mabwawa ni maalum kwaajili ya maji machafu yanayozalishwa na kiwanda cha nguoURAFIKI ndiyo maana yanaonekana mweusi
Sasa Waswahili ndo tunaochafua mambo hapo
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom