Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
hahaa nipoIle thread ushaichoka?
Maana kipya kinyemi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.....
hahaa nipoIle thread ushaichoka?
Maana kipya kinyemi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.....
Ha ha ha ha ha ha ha.. ..we other means![]()
Umesarenda
Process ya kubadili ID ni ndefu
Waandikie PM JF ukiwaeleza na sababu
Inaweza kuchukua hata mwezi km hautawafosifosi
......
Sasa Shunie ni tabia nzuri??.. Nataka nijue ili nijirekebishe.... Niache uchochezi.Mbona unauliza maswali hivi
Kama invisible man nimetandaza Web hakuna wa kumdhuru my boss lady SakayoPembeni ipii huonekani
Eeeeh..
Mabibo hapo kaka...
Nakumbuka nikiwa chuo nilikujaga kufanya project hapo kwenye hilo bwala la maji Taka..
Iko sahihi kabisa ni Nyagei sio NyegeiPengine labda ulikosea ha ha ha ha ha ha.
Kiumri bado ni kijana ila kwenye ung'oaji wa visiki wewe ni kikongweHa ha ha ha ha ha bado Shunie

Fungua/anzisha ID nyingineHa ha ha ha ha ha ha.. ..we other means
Ahsante mkuu kwa usahihishoNyagei
Huyo ni mng'oa majani tu km mbuzi
Tangu aingie humu hajang'oa kitu
![]()
![]()
![]()
......

AhaaaaaaahLee wacha nichange ID. ...naona hii inaleta wrong implication.
Ya madam hiyoLeo niko kilaji laini aisee...
Sitaki hangover..
![]()
Hii kitu alisema anko ndo ulimtuma dukaniiNimemharibu vp Rafiki kipenz?
Baada ya kupata likizo isiyo na malipo finally afande shedy anarudi rasmikusaidiana na nyagei ...
![]()

Nisamehe bureee!utani upiiii haturuhusu miutani ya kuvuka mipaka
