Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nakuonaaaa nakuonaaaaaaa...kama nipo alafu sipoooUnakunywa nani sasa hiko na Dada au
Nakuonaaaa nakuonaaaaaaa...kama nipo alafu sipoooUnakunywa nani sasa hiko na Dada au
maswali ni ya uchochezi achaSasa Shunie ni tabia nzuri??.. Nataka nijue ili nijirekebishe.... Niache uchochezi.
Kweli kabisa mm nilishindwa nkafunguaa mpyaa ..hawajibuuFungua/anzisha ID nyingine
Ndo njia rahisi
Ila utapoteza "profile" lako maana unaanza upya
......
Mh msamaha huku unachekaNisamehe bureee!
Sakayo hawezi kuwa substituted..
Yaap hata mimi nilikuja kipindi cha mvua...Zamani ndo palikuwa pachafu![]()
Ya kisha mara na tu wa
Now kupo poa tu tunaenda kupunga upepo huko na mademu zetu ila samtaimu hasa kipindi cha mvua kuna harufu mbaya balaa
.....
sikuelewiiiNakuonaaaa nakuonaaaaaaa...kama nipo alafu sipooo
Mh kwahiyo una id ya piliKweli kabisa mm nilishindwa nkafunguaa mpyaa ..hawajibuu
Ha ha ha ha ha ha.... Watoto hao utafanyaje?Hii kitu alisema anko ndo ulimtuma dukanii
MhMkuu Transcend ushauri wako wa mmi kutoka porin sahau ....porin raha sana ....![]()
Noumaaaaaa!Mkuu Transcend ushauri wako wa mmi kutoka porin sahau ....porin raha sana ....![]()
"upuuzi wa Lee" ha ha ha ha ha haWakuuu sina la ziada ...
Ombi naomba mnambie hii segment tuiitejee mwendo wa mapicha nina stock ya kutoshaa ...sijui hiwe fix za lee /upuuziii extended au pita pita ya lee ...kapuku raha sana aiseeeeh ..![]()

Sawa dadaangumaswali ni ya uchochezi acha
Ya tatu ...mm mkongwe usione upuuzii tu ...Mh kwahiyo una id ya pili

Nomaaaaaaaaa mkuu ...yaaanii jpili mapema unagongewaaaaaNoumaaaaaa!
Ukimtongoza anang'ata vidole na kucha..
Afu neno moja tuu anakuahidi
""Nitakuja jumapili asubuhi mama bibi akienda kanisani"
Shikamoo pori
mbona umefurahi hivyo ni upuuzi wa lee ndio umekufurahisha hivyo au"upuuzi wa Lee" ha ha ha ha ha ha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
zote za nini sasa aiseeYa tatu ...mm mkongwe usione upuuzii tu ...![]()
![]()
![]()
![]()
hongereni sanaaaNoumaaaaaa!
Ukimtongoza anang'ata vidole na kucha..
Afu neno moja tuu anakuahidi
""Nitakuja jumapili asubuhi mama bibi akienda kanisani"
Shikamoo pori