mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Bagheshi wewe noma kweliNguo za mitumba zina raha yake. Na kama wewe na waliokuzunguka hamjui kilichoandikwa basi ni poa tu. Tatizo ni pale unapokutana na wanaojua maana yake, na kwa sababu ya "werevu" wao wala hawakwambii zinasemaje bali wanakucheka tu na kukupiga picha. Siyo fair kabisa!
KaribuHODI JAMANI
Pamoja sana afande shedede
A chat tu JF inatosha hasa kwenye Makapuku forum
Nawewe pia ulindweUsiku mwema makapuku wote
Mungu awalinde
Kwa kweli ni Uzembe wa mvaaji.... Utavaaje maandishi ambayo hujui maana yake?? Ignorance + negligence = what you see.Hahahahaaa
mkonoNaunga hoja mkono
Post ya kwanza humu ndani aiseeMember mnyonge
KwemaPouwa..
Kwema?
Very confused.... Or do not know English?Utafiti huu wa Makamu wa rais wa Zimbabwe kiboko. Baada ya miaka mitano mizima hatimaye utafiti wake umebainisha kuwa mayatima wengi nchini humo hawana wazazi walio hai!
AhsanteKaribu
Asante Madenge. Kuna watu huwa wanadhani kuwa huku Makapuku ni watoto tupu hatuelewi cho chote. Kumbe sivyo. Na sisi huku hata kama ni ishu siriazi tunajadiliana kwa heshima na staha bila kutukanana kama ilivyo huko kwao.SHIMBA huwa unanifurahisha pia najifunza mengi kila unapoongelea siasa,uchumi.historia n.k
Kiufupi nchi imeoza au km ni kansa basi imeshafika kichwani na tukimpasua mgonjwa ana % ndogo ya kupona na tukiamua kumuacha anateseka na maumivu na hachelewi kufa
Tuliipuuza misingi aliyotuwekea Kambarage
.......
Ha haaa... Kumbe ndio maaana umekuwa mpole Siku hizi...daah vizuri bwana
Na sisi tumemmiss SAKAYO. where is the lady T.... Au umesham-frustrate.Hello
Brothers and sisters..
Nimewamiss wote humu
AaaminUsiku mwema makapuku wote
Mungu awalinde
Maana yake unayoijua weweau mm ndo cjaelewa yatima maana yke nn kwani
If God wishesAsante Sana. See you tomorrow