Makapuku Forum

Asante Obe, namkubali sana
 
I like your integrity, work ethic and character. Asante sana!
 
Tunahitaji kuwa na taasisi imara za usimamizi, ili kuepukana na haya ya kwenda kusaini mikataba London

SHIMBA huwa unanifurahisha pia najifunza mengi kila unapoongelea siasa,uchumi.historia n.k
Kiufupi nchi imeoza au km ni kansa basi imeshafika kichwani na tukimpasua mgonjwa ana % ndogo ya kupona na tukiamua kumuacha anateseka na maumivu na hachelewi kufa

Tuliipuuza misingi aliyotuwekea Kambarage

.......
 
Kweli, mimi mwenyewe nimemsoma nikamuelewa

Tatizo ni mkwapa kufuta kabisa jkt, hapo uzalendo ndio ikawaje by by
 
Kweli, mimi mwenyewe nimemsoma nikamuelewa

Tatizo ni mkwapa kufuta kabisa jkt, hapo uzalendo ndio ikawaje by by
Sizonje kachagua kuwapasua wagonjwa vichwa matokeo yake wengi wamekufa(makampuni,biashara,ajira n.k)
Tunamlaumu lakini madaktari waliomtangulia walizembea kututibia wagonjwa wetu pindi dalili za kansa zilipoanza

Kinga ni bora kuliko tiba

......
 
Utakuta hapo kavaa tu na wanaoelewa wala hawamwambii maana yake bali wanaishia kumcheka na kumpiga picha. Not cool!
Ndio tulivyo lakini,katika hili mara nyingi hatuwasaidii wale tunaokutana nao kwa kuhofu watapokeaje au kwa kuona sio wajibu wetu,Mungu atusaidie kuwa tayari kuwasaidia wenzetu wasiingie katika mitego hii.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…