Kama rasimu ya katiba itapitishwa kuna umuhimu mkubwa wa mkoa wa Tanga ufanywe kuwa makao makuu ya Tanganyika kwa sababu zifuatazo:
1- Tanga ina historia nzito na nyeti!
2- Tanga ina bandari kongwe na iko mahali strategia zaidi!
3- Tanga ni mji wa kwanza Tanganyika kupata hadhi ya manispaa!
4- Tanga ni mji uliostaarabika kwanza kabla ya miji mingine kwa kuwa na mahakama za mwanzo wakati wa Mjerumani!
ukichanganya na ujenzi wa kinidhamu wa mitaa ya Tanga, na sifa zingine nyingi zinaipa hadhi jiji hilo kuwa makao makuu ya Tanganyika ijayo! Dar es Salaam iendelee kuwa makao makuu ya Tanzania badala ya Dodoma!
1- Tanga ina historia nzito na nyeti!
2- Tanga ina bandari kongwe na iko mahali strategia zaidi!
3- Tanga ni mji wa kwanza Tanganyika kupata hadhi ya manispaa!
4- Tanga ni mji uliostaarabika kwanza kabla ya miji mingine kwa kuwa na mahakama za mwanzo wakati wa Mjerumani!
ukichanganya na ujenzi wa kinidhamu wa mitaa ya Tanga, na sifa zingine nyingi zinaipa hadhi jiji hilo kuwa makao makuu ya Tanganyika ijayo! Dar es Salaam iendelee kuwa makao makuu ya Tanzania badala ya Dodoma!