Zanzibar inafaa kuwa Makao Makuu ya Nchi

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,566
32,215
Kutokana na mazingira na historia ya Zanzibar. Inastahili kuwa Makao Makuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Kutokana na mazingira na historia ya Zanzibar. Inastahili kuwa Makao Makuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Unataka Zanzibar iwe makao makuu ya Jamhuri ya Muungano huu huu wa kinyonyaji, wa changu changu, chako changu!! Au kuna muungano mwingine?
 
Kutokana na mazingira na historia ya Zanzibar. Inastahili kuwa Makao Makuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
'Utumwa' ni ugonjwa mbaya sana, nimegundua watu ambao wazazi wao waliwahi kuwa 'WATUMWA' Zanzibar, na baada ya kuachiwa huru, kukimbilia huku Tanganyika, huwa hawaachi kuleta leta mada zinazohusu huko!
 
Back
Top Bottom