MKANDYA
Senior Member
- Aug 12, 2009
- 166
- 18
Tanganyika ina Makao yake tayari; Ikulu ya Magogoni na Bunge Karimjee (hii ni mali na haki ya Watanganyika kama ilivyo Kisiwandui kwa Wazanzibari)). Serikali ya Shirikisho (Tanzania) Makao yake Makuu yawe Dodoma, kwasababu yalipendekezwa kipindi cha serikali ya Muungano wa Tanzania, pia ofisi za Bunge la muungano liiendele kuwa hilo la Dodoma kwani nalo limejengwa kipindi cha Muungano. Hakuna sababu ya Watanganyika kuanza kutafuta Makao Makuu wakati tayari tunayo.