Hakuja kama Mkoloni! aliitwa na WaKilwa kuja kusaidia kumng"oa Mreno ambaye aliivamia Islamic State ya Kilwa na kutaka kulifanya taifa la Kikristo.Sideeq,
..YES, Muarabu aliwahi kuikalia Tanganyika kama koloni lake.
..kuna kipindi eneo la pwani ya Afrika Mashariki lilikuwa chini ya miliki ya Sultani wa Zanzibar/Oman.
Baada ya kumng`oa Mreno wakakubaliana na watu wa Zenj abakie katika hili eneo kwa ajili ya kuunusuru Uislamu dhidi ya Mreno ambaye aliingilia Kilwa mara mbili.
Unazungumzia kipindi kabla ya mapinduzi ya viwanda hivyo uuzaji na ununuaji wa binadamu kwa ajili ya kazi ambazo nyingi sasa hivi zinafanywa na mashine ilikuwa na maridhiano ya pande zote kama ulivyoonyesha mwenyewe kuwa hata Waafrika pia waliuza na kumiliki watumwa/wafanyakazi.JokaKuu said:..Pia baadhi ya Watawala wa kienyeji wa Tanganyika walikuwa wanashirikiana na Waarabu ktk ukamataji wa watumwa, pamoja na uwindaji wa ndovu na faru.
..Kwasababu mhimili wa uchumi na biashara ktk Tanganyika ya zama za Mwarabu ilikuwa ni biashara ya UTUMWA kwa kweli hapo tunazungumzia DAMU na siyo jasho tu.
Hili la uwindaji wa ndovu na faru inabidi ulithibitshe JokaKuu.