Makanisa yavunje MoU na Serikali...

Makanisa yavunje MoU na Serikali...

kwa hapa serikali ilikosea kweli kweli,ilipendelea upande mmoja.Pengine mimi ningewashauri waislam kwamba hatua nzuri ya kuchukua ambayo pia ni ya kimaendeleo.

Na sisi tuanzishe mahospitali makubwa makubwa halafu tuwe tunaomba ruzuku ya kuyaendeshea kutoka serikalini.Kwa kufanya hivyo tutakuwa tunaimarisha sekta ya afya na hivyo kuwasaidia wananchi kwa ujumla lakini pia tutakuwa na sisi tuna miradi mikubwa.

.......

Hilo neno mkuu.
 
Hawa jamaa wana wanasheria wasomi wazuri tu lakini cha ajabu wanashindwa ama hawataki kutambua sheria ya mkataba. Hivi kwanini msiitake serikali kuvunja so called MOU?

Jakaya Mrisho Kikwete, Gharib Bilal, Othman Chande, Said Mwema, na yule Kinara wa TISS si ni waislam tena ndiyo top most wa maamuzi ya mihimili yao.

Mnaonaje mkiwashauri wao wavunje MOU. Maana wanasimamia upande wa pili wa makubaliano. Kisha muanzishe mahakama ya kadhi, mjiunge na OIC ili mpate misaada mingi sana toka huko. Au jamaa toka wapate hizo post hawafiki tena misikitini?
 
Mkuu JERUSALEMU; Waislamu kote duniani ni zaidi ya tatizo. Jiulize swali moja la kizushi, hivi dunia ingekuwa katika hali gani kama watu mfano wa Bush na Obama wasingekuwepo kuwaonya hawa ndugu zetu, nafikiri wangekuwa wameshatugeuza barabara.
 
Hawa jamaa wana wanasheria wasomi wazuri tu lakini cha ajabu wanashindwa ama hawataki kutambua sheria ya mkataba. Hivi kwanini msiitake serikali kuvunja so called MOU?

Jakaya Mrisho Kikwete, Gharib Bilal, Othman Chande, Said Mwema, na yule Kinara wa TISS si ni waislam tena ndiyo top most wa maamuzi ya mihimili yao.

Mnaonaje mkiwashauri wao wavunje MOU. Maana wanasimamia upande wa pili wa makubaliano. Kisha muanzishe mahakama ya kadhi, mjiunge na OIC ili mpate misaada mingi sana toka huko. Au jamaa toka wapate hizo post hawafiki tena misikitini?

hata mimi nawashauri wafanye hivi.kama kuna uonevu ndugu zetu waislam kaeni vikao mjadili jinsi ya either na nyie kujiunga au nenden mahakamani.kupiga kelele mtaani hamtaeleweka.hajuna kisichowezekana ila tu tumieni akili
 
Mkuu umenena ukweli na ukweli mtupu. Wakristu hawawezi kuvunja mkataba ambao wao hawana matatizo nao. Wenye shida nao ni hao wasioona umhimu wa Elimu. Wangekuwa wanasoma na wao wangeomba kuwa na mkataba na serikali na sio kutaka wa wenzao uvunjwe.

Tatizo la waislamu lipo karibu kwa watu wote, WALIOSOMA NA WASIOSOMA. Wakati unategemea waliosoma wawasaidie ambao hawajasoma unakuta na wao wakiwa kwenye vikao vyao wote wanawaza vilevile. Mapendekezo ya mtoa mada siyo tu ni ya kitoto bali pia yanaonesha ni ya mtu aliye soma lakini ameamua kufikiri kama wasio soma.

NI KAMA ANAPENDEKEZA KUWAWALIO ENDELEA WAWASUBIRI WALIO NYUMA KIMAENDELEO.

Waislamu walio wengi elimu kwao ni kama anasa. Ukiangalia maeneo yaliyo na waislamu wengi mahudhurio ya watoto wao shuleni yako chini ya asilimia 50. Ukienda BAGAMOYO, CHALINZE, LINDI YOTE, MTWARA YOTE KASORO MASASI, siku mvua ikinyesha tu asubuhi mahudhurio yanashuka hadi asilimia 25!! Hali kama hiyo huwezi kuikuta Kilimanjaro, Mbeya, Shinyanga, Iringa, Ruvuma, na maeneo yote ya wakristo wengi.

Kama wakitambua kuwa elimu ni ufunguo wa maisha basi ungetegemea kuona wanajenga shule nyingi zenye ubora wa hali ya juu na kuimarisha uongozi wa shule zao sambamba na kutafuta walimu wenye sifa nzuri kitaaluma na siyo kiroho tu. Shule zao siyo tu zinatia huruma lakini pia nyingi zinaendeshwa kimagumashi. Karibu zote wastani wa kufaulisha watoto kwenda kidato cha tano ni asilimia kati ya 2 hadi 5 tu.

USHARI WANGU NI wajitathini wenyewe kwanza.
 
Back
Top Bottom