Ritz,
Hakika wenzenu wanajitoa fahamu kwa hilo na kujifanya hawajui hisabu basi muwaulize hata kuhisabu hamjui.
Kama Mou Hiyo ingetumika Serikalini mpaka sasa 20 Yrs mngekuwa na hospital kubwa za level ya wilaya (kama Amana au Mwananyamala) 20 ambazo zingetapakaa nchi yenu yote na vyuo vikuu 20 ambavyo vingekuwa karibu mikoa yenu yote. Kwani kwa upande wa Serikali ya JMTz ingewatumia wataalamu wale wanaofanya kazi kwa sasa katika hospital za kanisa na vifaa vile wanavyowekeza katika hospital hizo. Nina imani hospital za kanisa nyingi zingekufa kifo cha mende.
Kumbuka KANISA LIMEWEKEZA KATIKA MAJENGO YA HOSPITAL lakin sio kwa WATAALAMU, VIFAA VYA HOSPITAL NA MADAWA. kwani vyote hivyo kwa sasa wanapata toka Serikalini.
Mnalalamikia MoU, je zile hela mlizoficha uswizi zingejenga shule na hospitali ngapi? Na yule jamaa aliyejigeuza njiwa kila siku anapaa kwa kutumia kodi zetu, je hata hiyo hamuoni kama ni hujuma. Ninyi kweli hamnazo!!!