Makanisa yavunje MoU na Serikali...

Makanisa yavunje MoU na Serikali...

Nilikuwa naangalia intake ya st jordan university ya morogoro ambacho ni chuo pure cha kikatoliki nimegundua majina ya kiislamu mengi ya kumwaga tena karibu kozi zote sasa najiiliza mbona tasisi zq kikristo wanazitumia wakati dini za kikristu zenye hizo huduma hawazitaki wanawaza nini hawa watu Mkapa kawapa chuo kikuu cha muslimu cha morogoro sijasikia wakristo wakilala mika.
 
unajua waislam hatuendelei kwa sababu ya wajinga wachache, toa hospitali zetu serikali itupe support, zipo wapi, morogoro university yenyewe inaanguka sababu ya udini mbele, si usenge huu, tuwe kitu kimoja na wenzetu tujifunze wanavojituma si kuwaonea wivu , wewe MCHAWI nini,hakuna hata muislam aliebaguliwa ktk mahospitali teule, nadhani waislam wenzangu shule hamkwenda ndo shida . sababu mnazotoa za kishoga sana, nahisi mnamatatizo nyie wafuasi wa kihiyo , mimi naanzisha mshikamano wa waislam wenye kupenda amani na sasa nitapata wengi tu, haya waponda na mimi mwenyewe AKBAR AKHTAR tuone sasa, mfumo kristo wa wapi? unatumia makalio kuhoji au? wakti mnaiba hadi madukani mwetu , mi ustaadh naibiwa dukani kisa maandamano ya *******!
 
Mkuu ongeza na Peramiho medical university ambacho ni chuo kikuu kishiriki cha bugando university ndugu zetu mbona wanapata nafasi kujiendeleza kwenye hivi vyuo na hawakatai kwa sababu vipo chini ya maasikofu.
 
Waislamu hawana uwezo wa kujenga mashule wa mahospitali kwa kuwa wengi ni wabinafsi na wachoyo sadaka zenyewe wanatoa vichele, msikiti unajaa zaidi ya watu 200 sadaka elfu kumi wapi mtapata hela za ujenzi, miskiti yenyewe hadi mpewe misaada na gadafi, malofa wakubwa nyie acheni kulalamika badala yake mmbadilike.
 
Nilikuwa naangalia intake ya st jordan university ya morogoro ambacho ni chuo pure cha kikatoliki nimegundua majina ya kiislamu mengi ya kumwaga tena karibu kozi zote sasa najiiliza mbona tasisi zq kikristo wanazitumia wakati dini za kikristu zenye hizo huduma hawazitaki wanawaza nini hawa watu Mkapa kawapa chuo kikuu cha muslimu cha morogoro sijasikia wakristo wakilala mika.
Nenda kaaangalie majina ya wanaoingia Muslim Univ. utakoma,mpaka uwe na sing'da ya kwenye masaburi ndio utapata kusoma pale,tofauti na hapo husomi hata Vasco AJE!
 
Nimefanya kazi katika hospitali ya kansa kwa miaka 5(nimeacha kwa sasa). Sikuwahi kulipwa mshahara na serikali. na katika hsp hiyo watumishi waliokuwa seconded serikalini si zaidi ya%7
 
Waislamu hawana uwezo wa kujenga mashule wa mahospitali kwa kuwa wengi ni wabinafsi na wachoyo sadaka zenyewe wanatoa vichele, msikiti unajaa zaidi ya watu 200 sadaka elfu kumi wapi mtapata hela za ujenzi, miskiti yenyewe hadi mpewe misaada na gadafi, malofa wakubwa nyie acheni kulalamika badala yake mmbadilike.
Ni was.........................ge sana hawa jamaa,awamu ya nne mukulu ni wao,mbona hajawasaidia kujenga hivyo vyuo na shule wanazozitaka?kazi yao ni KUFUTURISAHANA na kutoleana mashuzi,mara mnafuturishana singida,mara tanga,mara magogoni,changamkeni kama Nyerere kawabamia na Vasco nae pia kawabania?Tumieni akili nyie msiwaze mchele kila wakati!
 
Mkuu shikamooooo!!!!!!!!rais jakaya mrisho kikwete (muislamu) kwenye baraza la idd msikiti wa gaddaf dodoma mwaka jana alisema haina sababu ya kulia lia mliomba mkakataliwa??ombeni ntapitisha tu tatizo kwenye justification ya matumizi shule hamna,vyuo hamna,haospital hamna unataka ruzuku ya serikali ukafanyie nini???ntakojolea mimi nikinukishe ijumaa ijayo!!!!!!!!
 
Mkandara,
Mimi sijui kama MOU ilikuwa kinyume cha sheria. Kama ilipitishwa na serikali na kujadiliwa na baraza la mawaziri sioni tatizo kabisa. Kama nilivyosema katika uzi mmoja mimi ni member wa bodi ya hospitali ya Shirati. Kwa zaidi ya miaka 60 hospitali hii imeendeshwa kwa sadaka ya kanisa na misaada kutoka hapa Marekani. Ni serikali ndiyo illiyofuata uongozi na kutaka kuifanya iwe serikali ya rufaa ya mkoa kwa kuahidi kuwa watatoa dawa na kulipa mishahara ya wafanyikazi, jambo ambalo halijatokea mpaka hivi leo. Lakini nimesema MOU siyo lalamiko peke yake la Waislamu kwa sababu hata kama itafutwa, na hii ni kwa mujibu wa maandishi wa Mohamed Said, bado wataendelea kulalamikia kile wanachoita "mfumo kristo." Mimi kwangu hapo ndipo tunapoachana njia panda kwa sababu nakumbuka hata Misri wakati wa Nasser na Sadat, Muslim brotherhood waliipa serikali shida kubwa sana mpaka kupelekea mauaji ya Sadat. Leo wako mamlakani lakini itawawia vigumu kubadilisha mfumo uliopo (secular). Sasa nakushauri ndugu yangu, unielimishe juu ya kile unachoona kitaleta muafaka katika suala hili la malalamiko ya Waislamu kwa sababu at the end of the day, we are condemned to live together.
Jasusi,
Swala sio mimi nikuelemishe wewe mtu mzma na mwenye busara ya kuelewa kwamba tunachotazama hapa ni wapi tunaelekea. Umefikia hadi kutoa Mfano wa Misri sasa sieelwi kama wewe uko tayari tufikie walikofika Misri ikiwa Huyo Sadat au Mubarak wangeweza tu kufanya jambo dogo sana la kuruhusu Upinzani. kwani Sadat Na Mubarak walikuwa dini gani? Hivi kweli mnataka Waislaam wafanye fujo na mapinduzi kama ya Misri ili kutazama matokeo ya harakati hizo ndio niwaingie kichwani.

Jambo la Pili, wewe kama mwana Chadema unajua fika kwamba hata Ufisadi ni swala ambalo rais na baraza la mawaziri wamelipitisha toka wakati wa Mwinyi na Azimio la Zanzibar, iwe kuingia kwa TTCL, Richmond, Uuzaji wa nyumba za serikali, Meremeta na ikadhalika. Pengine nifahamishe wewe, Chadema mnacholalamikia nini ikiwa vitu hivi vimepitishwa na serikali iliyopo madarakani? Na maajabu ni kwamba Waislaam wanailalamikia serikali ile ile unayoilalamikia wewe lakini maajabu wewe msomi na mwenye hekima na busara unataka tu ktk maswala ambayo umeyakosa wewe lakini sio yale yanayowahusu Waislaam hata kama kuna makosa yamefanyika..

Nimeshasema sii mara moja wala mbili, Nchi yetu haina dini, kitendo cha serikali kuingia Ubia na kanisa ni kinyume cha Katiba hata kama jukumu hilo wangepewa Bakwata au hata kuhusishwa pamoja na CSSC haitakiwi ni makosa maana nchi yetu haina dini moja, mbili wala tatu..Kuna Mahusiano baina ya serikali na Bakwata ktk swala la kisiasa na tunasema wazi Nakwata ni chmbo cha setikali hatukitaki..maana chombo hiki kimetumiwa sana ktk kuwavuruga Waislaam na kuleta Udini nchini ( wanaosema nani? - Waislaam). Tazama basi waislaam wenyewe hawakitaki na wanasema wazi kwamba hata Sheikh Mkuu hawamtaki jambo ambalo huwezi kulikuta ktk dini ama imani yenu kumkataa kiongozi wa dini kwa sababu anajihusisha na maswala ya kisiasa. At least wao wanaweza kujitazama ndani ya nafsi zao kujikosoa na kudai haki lakini sio nyie na hili ndilo hunisumbua sana kuelewa.

Madai ya Waislaam yataendelea kuwepo pale wananchi wanapoonewa. Mohammed Said pamoja na kuwa na makosa yake lakini kuna ukweli ndani ya hoja zake hasa pale anaposema Waislaam ndio waloanzisha harakati za Uhuru nchini., maana hawakuogopa ku raise maswala ya jamii yetu kukoloniwa. Na kuna ukweli mkubwa sana kwamba wapo wakristu wengi walipingana na harakati hizo kwa madai ya Mkoloni katuletea Ustaarabu na dini. Hivyo ilichukua wasomi wa Kikristu kuungana na waislaam ktk harakati hizo ndipo wakaweza kuwavuta wananchi walio wengi. Ni sawa na leo hii nategemea wasomi kama nyie kuwa sehemu ya nguvu mpya ya mageuzi ya Kijamii na sio watu wamchague Dr.Slaa agombee Urais kwa sababu ni Mkristu. Kumbe wewe ni member wa bodi ya hospitali ya Shirati? well I know now sababu gani inakusukuma mimi sio member wa bodi wala msikiti wowote nazungumza kama Mtanzania..
Hakika mnanisikitisha sana..
 
Mkandara, naamini wewe ni msomi na una uelewa mkubwa sana kuliko wenzako walio wengi ambao wanaandamana bila hata kujua ni kwanini wanaandamana. Naamini unajua wazi kabisa kwamba serikali haina uwezo wa kutoa huduma zote za jamii kwa watu wote, pia unajua wazi kabisa kwamba waislam hawajawekeza vya kutosha kwenye suala zima la huduma za jamii. Hivi kama leo hii itatokea MOU ivunjwe, na wakrito wakasema tutatoa huduma kwa watu wetu tu kwa kuwa wao wanachangia sadaka, unafikiri waislamu wataenda wapi? Na niambie umoja wa taifa utajengwa vipi kama huduma za jamii zitatolewa kwa udini? Kumbukeni kwamba sehemu nyingi za vijijini ambako kuna wakristo na waislam huduma nyingi za kijamii kama maji na afya zinatolewa na mashirika ya kidini?

Kule kijijini kwetu kanisa la Anglikana limegawa ng'ombe wa maziwa kwa akina mama wa dini zote waislam na wakristo bila ya ubaguzi wowote, na hivi sasa wakina mama wale wanaweza kusomesha watoto na wanajikwamua kutokana na umaskini. Hivi kanisa lile lingeleta udini, hali ingekuwaje kwa waislam? Hata rais wenu amesoma shule za misheni, kama kusingekuwa na huu utaratibu waislam wangesoma wapi jamani na hali shule hamjengi? Sasa hivi ukienda peramiho au KCMC unapata huduma kama mtanzania na si kama Muislam au Mkristo, na unapata huduma yenye ubora sawasawa, sasa kinachowauma ni nini?

Nakuhakikishia Mkandara wanaoongea maneno ya hovyohovyo namna hii na kuupotosha umma ni watu ambao hawajaenda shule. Na ni fedheha kwako kufuata maneno haya ya wakosaji. Maana mkataba mnaoulalamikia si wa wakristo na serikali tu bali ni wa serikali na mashirika ya dini yakiwemo ya waislamu. Tatizo ni tu kwamba shule zenu wanasoma waislamu tu. Hiyo ndo tabu yenu. Lakini najiuliza kama mikataba hii ya serikali kuchangia gharama za kuendesha huduma za jamii zinazotolewa na mashirika ya kidini itafutwa, ninyi mashirika yenu mtaendeshaje na hivi mnategemea misaada kwa kila kitu?
Mkuu wangu samahani sana, umeanza vibaya sana kusema serikali haina uwezo..Ni lini mtu asiyekuwa na uwezo ndiye anatoleshwa fedha kuendeleza kitu cha mwingine. Sii mara zote mwenye uwezo ndiye humsaidia asiyekuwa na uwezo kuendesha chake? Hivi kweli wewe unataka kunambia kama huna uwezo wa kuilisha Familia yako unatakiwa kunipa mimi mwenye uwezo fedha kadhaa halafu ndipo mimi niwalishe watoto wako wakati naendesha biashara zangu kwa mtaji wako?.

Sikubaliani na mawazo haya mgando maana serikali ilikuwa ina shule zote za Kanisa na huwezi kunambia shule hata moja ambayo inaendeshwa vizuri leo hii kuliko wakati wa Nyerere. Nimesema wazi Tambaza ya leo huwezi kabisa kuilinganisha na ile na wakati wa Nyerere..Kiwango cha elimu kimechuka, Kiwango cha huduma hata Muhimbili kimeshuka toka mwaka 1992 ndipo tumeanza kuyaona mapungufu haya..Kinachofanyika leo ni ni Biashara tu. Halafu maajabu hiyo serikali unayosema haina uwezo mbona imejenga mashule na Hspitla nyingi sana nchini kuliko wakati wowote ule?.. wanapata wapi fedha?
 
MOU ni janja ya kanisa kujificha nyuma ya "Kutoa huduma za jamii" kusambaza dini yao, at a ZERO COST, maana pesa wanapewa na Serikali!. Pesa ya Umma!.Mou haina budi kuvunjwa, maana ni kinyume cha Katiba!- kwa maana Mou Haitoi fair ground kwa competitors wote katika sekta za elimu na Afya kunufaika na Kuwezeshwa kama wenzao wa Kanisa wanavyowezeshwa!.HATUKATAI KANISA KUFANYA BIASHARA ZA HUDUMA HIZI, TUNACHOSEMA NI KWAMBA, WAFANYE KWA MITAJI YAO, SISI RAIA TUNAOHITAJI HUDUMA TUTALIPIA HUDUMA HIZO!. NA SIYO KUJIFICHAFICHA NYUMA YA 'KUTOA HUDUMA' HUKU WAKICHUKUA PESA ZA UMMA KUENDESHEA MIRADI YAO BUREE!!!. SI WACHUKUE BASI JAPO MIKOPO?
 
Unasahau kwamba serikali ilipotaka kujiunga na OIC wakatoliki walipiga sana kelele, kwani hujui kwamba yenyewe ingewasaidia kujengewa mashule, mahospitali na mengine kama biashara na kadhalika, hii ilionkena kuwa ingewaendeleza waislamu, na kwa sababu wenzetu upande wa pili wanapenda kuona sisi tukiwa nyuma siku zote basi ni kelele kwa kwenda mbele, HAYA NDIO SABABU KUBWA YA VURUGU HIZI ZINAZOTOKEA,! serikali ivunje hiyo MOU between wao na kanisa, au ikubali kujiunga na OIC kwamba na waislamu nao watakuwa na MoU yao!

Shukrani ya punda mateke nyerere alichukua shule za wakristo ili watanganyika wasome regerdless of their religion. Je wakristo wangekataa kipindi hicho je mgesoma wapi? Na bado mkristo akawapa majengo ya tanesco mfanye chuo bado hamridhiki? Mi nina uhakika mkubwa waislamu wenye matatizo na ambao hawajasoma wengi wanatokea pwani, hii ni mifano dhahili, kuna shule inaitwa ubungo islamic ilikuwa moja ya shule nzuri mjini hapa mbona leo haipo tena kwenye ramani ya elimu nzuri achilia mbali kinondoni islamic na tabata mdhilimu na sasa hivi mna shule nzuri ya kiislamu ipo mwanza kama uongozi utakuwa mbaya itakufa kitaaluma kama ubungo islamic. Jipangeni upya kwenye uongozi hawa viongozi wenu wasiyo na elimu ahera na dunia muwaweke pembeni. Hakika mkipata visionary leaders mtaenda mbali
 
Mkuu wangu samahani sana, umeanza vibaya sana kusema serikali haina uwezo..Ni lini mtu asiyekuwa na uwezo ndiye anatoleshwa fedha kuendeleza kitu cha mwingine. Sii mara zote mwenye uwezo ndiye humsaidia asiyekuwa na uwezo kuendesha chake? Hivi kweli wewe unataka kunambia kama huna uwezo wa kuilisha Familia yako unatakiwa kunipa mimi mwenye uwezo fedha kadhaa halafu ndipo mimi niwalishe watoto wako wakati naendesha biashara zangu kwa mtaji wako?.

Sikubaliani na mawazo haya mgando maana serikali ilikuwa ina shule zote za Kanisa na huwezi kunambia shule hata moja ambayo inaendeshwa vizuri leo hii kuliko wakati wa Nyerere. Nimesema wazi Tambaza ya leo huwezi kabisa kuilinganisha na ile na wakati wa Nyerere..Kiwango cha elimu kimechuka, Kiwango cha huduma hata Muhimbili kimeshuka toka mwaka 1992 ndipo tumeanza kuyaona mapungufu haya..Kinachofanyika leo ni ni Biashara tu. Halafu maajabu hiyo serikali unayosema haina uwezo mbona imejenga mashule na Hspitla nyingi sana nchini kuliko wakati wowote ule?.. wanapata wapi fedha?
Mkandara, unasema haya kwa kuwa unajisikia kusema au unasema haya kwa kuwa unaelewa hivyo? Hivi privatization ya government institutions ilikuja kutokana na nini? Kwanini sekta nyingi za serikali zilibinafsishwa, na do you real know kwamba idadi kubwa ya hospitali, na mashule makubwa ya serikali unayoyafahamu hapa nchini yalikuwa yanamilikiwa na makanisa? Mshukuruni sana Nyerere aliyeamua kuyataifisha haya mashule na mahospitali ili na ninyi waislam mpate kusoma. Vinginevyo tungeshawabatiza wote, maana ili muweze kupata elimu ya kikristo mngelazimika kubatizwa na kulishwa nguruwe.

Back to the point: kama hiyo serikali ilikuwa na uwezo wa kujenga hayo mashule na mahospitali kwanini iliyanyang'anya haya mashule na hospitali kutoka kwa wakristo? Hili si tatizo la serikali ya Tanzania tu bali ni serikali zote duniani na ni kanuni za uchumi pia, zinazosema kwamba huduma za jamii ziendeshwa na sekta binafsi halafu serikali ikusanye kodi. Hivi unataka kusema kiasi cha mchango inachotoa serikali kuendesha hospitali ya peramiho ni sawa na kiasi ambacho ingetoa kuendesha ile hospitali kama mali yake? Kwa maana ya kulipa wafanyakazi kununua madawa na ukarabati? Ndiyo maana na wewe mwenyewe unakiri kwamba shule nyingi zilizochukuliwa kutoka kwenye mashirika ya dini sasa hivi zimechoka hata hazikarabatiwi, na mahali pengine, serikali inazirudisha zile shule makanisani baada ya kuona mambo ni magumu.

Sasa wewe unaongea kitu gani kwamba eti hutarajii serikali ishindwe kutoa huduma za kijamii? So far mchango wa serikali kwenye haya mashirika hadi hivi sasa una walakini mkubwa kwa kuwa inasemekana kwamba tangu mwake 2008 (chini ya uongozi wa muislamu mwenzenu), mashirika mengi yanayotoa huduma za jamii hayajapokea ruzuku kutoka serikalini. Kwa hiyo yanachofaidi haya mashirika ni punguzo la kodi wakati wa kuingiza madawa na vipuri, ambalo hata waislam wanapata. Sasa kelele ni za nini? Mimi nafikiri ukosefu wa akili tu ndo unawasumbua waislamu.
 
Tatizo la waislamu lipo karibu kwa watu wote, WALIOSOMA NA WASIOSOMA. Wakati unategemea waliosoma wawasaidie ambao hawajasoma unakuta na wao wakiwa kwenye vikao vyao wote wanawaza vilevile. Mapendekezo ya mtoa mada siyo tu ni ya kitoto bali pia yanaonesha ni ya mtu aliye soma lakini ameamua kufikiri kama wasio soma.

NI KAMA ANAPENDEKEZA KUWAWALIO ENDELEA WAWASUBIRI WALIO NYUMA KIMAENDELEO.

Waislamu walio wengi elimu kwao ni kama anasa. Ukiangalia maeneo yaliyo na waislamu wengi mahudhurio ya watoto wao shuleni yako chini ya asilimia 50. Ukienda BAGAMOYO, CHALINZE, LINDI YOTE, MTWARA YOTE KASORO MASASI, siku mvua ikinyesha tu asubuhi mahudhurio yanashuka hadi asilimia 25!! Hali kama hiyo huwezi kuikuta Kilimanjaro, Mbeya, Shinyanga, Iringa, Ruvuma, na maeneo yote ya wakristo wengi.

Kama wakitambua kuwa elimu ni ufunguo wa maisha basi ungetegemea kuona wanajenga shule nyingi zenye ubora wa hali ya juu na kuimarisha uongozi wa shule zao sambamba na kutafuta walimu wenye sifa nzuri kitaaluma na siyo kiroho tu. Shule zao siyo tu zinatia huruma lakini pia nyingi zinaendeshwa kimagumashi. Karibu zote wastani wa kufaulisha watoto kwenda kidato cha tano ni asilimia kati ya 2 hadi 5 tu.

USHARI WANGU NI wajitathini wenyewe kwanza.

Hata waliosoma kama wewe huna uwezo wa kupembua mambo. Serikali ya Waingereza walitoa huduma za jamii kupitia makanisa ili waislamu wasipate nafasi ya kusoma. Baada ya uhuru, Nyerere aliendeleza hali hiyo hata kama mchango wa Waislamu katika uhuru ulikuwa mkubwa sana. Mbaya zaidi juhudi za kuwainua waislamu kielimu, kiuchumi na kijamii zilififishwa na Nyerere kwa kuvunja taasisi ya Kiislamu iliyotaka kujenga Chuo Kikuu cha kwanza cha binafsi pale Chang'ombe baada ya kuona Chuo Kikuu ambacho kilijengwa kwa michango ya Waislamu kikiwabagua. Mikoa yenye Waislamu wengi hasa ya Pwani ya Tanga, Mtwara, Pwani, Kigoma/Ujiji, Tabora iliwekewa Mikakati maalum ya kuidhoofisha. Mikakati hiyo hasa ile ya elimu ilifanywa na Nyerere kwa kuweka infrastrucure zitakazofanya kazi ya kuhakikisha kuwa inafanikiwa. Baraza la mitihani ni kielelezo kizuri ambapo leo nyie mnaojifanya mmesoma ndilo mnalolitumia kutoa division one zote kwa Marian Girls. lakini hawa wakienda huko mbele wanakuwa ni kituko tupu. Haya yanajidhirisha moja kwa moja.

Kisha iwapo sehemu kubwa ya workforce ya Tanzania ni wasomi wakristo basi maandeleo duni yaliyopo yanatokana na workforce hii. Sasa tuna question elimu yenu ni mchnago wake kwa maendeleo ya taifa. Elimu yenu mnaitumia kutengeneza MOUs za kunufaisha kanisa huku nchi ikiwa inakwenda harijojo tu?

Tizama Nyerere Mkristo = utawala 25 years: maendeleo ya kiuchumi ZERO. kama umezaliwa juzi basi tunakukumbusha tu kwamba hata CHUMVI tulikuwa tunaipata kwa foleni ya kutanguliza jiwe. Songea - Dar siku mbili barabarani, barabara za Dar - matope tupu. Usomi wake wa kikristo unatusaidia nini hapa???????????

Mkapa - utawala miaka 10 - at least mabadiliko ya kiuchumi ambayo ni mwendelezo wa mabadiliko aliyoanzisha Sheikh Mwinyi. Rushwa 200%. Emblezzlement - 500%

Kwa kifupi usomi wa kikanisa ni kikwazo kwa maendeleo ya taifa. kanisa limekuwa kikwazo cha maendeleo kwa watu wengi kwa sababu ya ubinafsi wake.

Jitazame elimu yako kisha jipime umefanikiwa nini kama sio wizi tu ulioufanya ukiwa kwenye ofisi ya umma
 
Hivi vyuo vikuu na vyuo vikuu vishirikishi vya kikristo,kama kuna nilichosahu naomba wana jf muongezee hapo:
1. Saint Augustine University of Tanzania (SAUT)
2. Stefano Moshi Memorial University College (SMMUCo)
3. Ruaha University College (RUCO)
4.Iringa University College (IUCO) 5 Makumira University College (MUCO)

6.Tumaini University - Dar es Salaam College (TUDARCo)
7.Saint Augustine University of Tanzania (SAUT)
8.Stella Maris Mtwara University College (SteMMUCo)
9.Archbishop Mihayo University College of Tanzania (AMUCTA)
10.Jordan University College (JUC)
11.Sebastian Kolowa University College (SEKUCO)
12.Mwenge University College of Education (MWUCE)
13.Saint Johns University of Tanzania (SJUT)
14.University of Arusha (UoA)
15.Teofilo Kisanji University (TEKU)
16.Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS)
17.St. Francis University College of Health and Allied Sciences (SFUCHAS)
18.Mount Meru University (MMU)
19.St. Joseph University in Tanzania (SJUIT)


Hvi ni vyuo vikuu na vyuo vikuu vishirikishi vya waislam,kama kuna nilichokiacha naomba wana jf muongezee
1.Muslim University of Morogoro (MUM)
2.Zanzibar University (ZU)
Nawaomba sana waislamu muache kulalamika:
a.Mnasema nyerere kawaonea,ameshakufa na hawezi kufufuka,jipangeni vizuri
b.Kighoma Malima mnaesema aliwatetea nae ameshakufa hawezi kufufuka tena,jipangeni vizuri,
c.Na wengineo wanaowapa sumu za hapa na pale kaeni nao mjipange mna hazina ya kutosha ya kuweza kuchangishana na kuongeza ufanisi kwenye Chuo chenu cha Morogogoro mfano Mh Bakhresa ni mmoja wa matajiri kumi barani afrika,Mohamedi Dewji na wengineo ongezeni matawi ya MUM mikoani na DSM pia,Msikalie kwenda kuomba kw matajiri hawa hasa Bakhresa hela za kwenda Kuhiji tu,na maendeleo pia mkaombe,TAMSA msiwe sehemu ya malalamiko tu,nyie kama vijana wasomi msiwe na mawazo kama ya PONDA yeye ameshamaliza enzi yake,elimu kakosa anaishia kufitinisha watu.
Huu ni ushauri tu!
Mungu ibariki Tanzania.


Umesahau...KCMC- Kilimanjaro Christian Medical Centre na Heil Bugando University..Hizi ni hosp na vyuo.
 
Hebu soma kwanza wengine wameandika nini. Ukimaliza, andika na usome wewe ulichoandika. Edit na ukimaliza ndiyo utume.
Huna akili kabisa wewe tatizo ndo maana tunaambiwa hatuna shule; huduma za jamii za kwetu zipo wap?we shoga nini; gadafi badala ya kujenga university yetu kajenga msikiti dodoma hapo utasemaje?i

unajua waislam hatuendelei kwa sababu ya wajinga wachache, toa hospitali zetu serikali itupe support, zipo wapi, morogoro university yenyewe inaanguka sababu ya udini mbele, si usenge huu, tuwe kitu kimoja na wenzetu tujifunze wanavojituma si kuwaonea wivu , wewe MCHAWI nini,hakuna hata muislam aliebaguliwa ktk mahospitali teule, nadhani waislam wenzangu shule hamkwenda ndo shida . sababu mnazotoa za kishoga sana, nahisi mnamatatizo nyie wafuasi wa kihiyo , mimi naanzisha mshikamano wa waislam wenye kupenda amani na sasa nitapata wengi tu, haya waponda na mimi mwenyewe AKBAR AKHTAR tuone sasa, mfumo kristo wa wapi? unatumia makalio kuhoji au? wakti mnaiba hadi madukani mwetu , mi ustaadh naibiwa dukani kisa maandamano ya *******!​


 
Back
Top Bottom