Nsiande,
Unajua kuwa unapoandika jambo lolote hapa unatakiwa uwe na hakika nalo.
Nilipo BLUE.
Aga khan haipati ruzuku kutoka Serikalini zaidi ya msamaha wa kodi wakti wakipitisha vifaa vyao va hospital. Kumbuka kuwa madaktari wote, wauguzi wote na wafanyakazi wengine wote ni waajiriwa na wanalipwa mishahara yao na The Aga Khan foundation na SIO Serikali a JMTz.
Na hata ukipiti bajeti zote za Wizara ya Afya na hakuna kipengele chochote kinacho onyesha kuna ruzuku kwenye hospital hiyo. Labda nimeona kuna ruzuku kwenye baadhi ya madawa kama yale ya kutibu Vichaa, kansa na HIV/AIDs ambao kama wananunua Serikali inagharamia na kutoa punguzo kwayo.
nafikiri kwenye semina hiyo ulikwenda kuchukua pesa na sio kujifunza.
Pole sana
Dear Barubaru
niliattend kikao kwa mualiko rasmi kama mtaalamu mshauri, hivyo ni haki yangu kupokea bahasha baada ya kutoa utaalamu husika;
tukirudi kwenye pole yako kwangu kuwa sio ruzuku bali ni msamaha wa kodi, naomba nikupinge tena na kukurudishia weye pole yako, ni kuwa kwa sasa private hospitals zinapokea government cash ili kusaidia kuboresha huduma ya afya pamoja na kutoa unafuu
nanukuu:
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"]Now private hospitals to receive govt cash [/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"]
Send to a friend [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Friday, 11 November 2011 22:26 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Permanent Secretary for Health and Social Welfare, Ms Blandina Nyoni.
By Songa wa Songa
The Citizen Correspondent
Dar es Salaam. In what has been described by observers as a major policy shift, the State will soon start allocating substantial amounts of money to private hospitals to facilitate more and better health service delivery in disadvantaged rural communities.
It has emerged that the government and donors have reached an agreement to channel half of the Sh168 billion in health budget support funds directly to public and private hospitals at the grassroots.
According to the government and the donors, this is a deliberate move to drive quick health delivery results through local councils throughout the country.Areas targeted include those that are highly disadvantaged, it was revealed yesterday by the ministry of Health and Social Welfare.
The donors who are expected to contribute some Sh168 billion this financial year noted that the new cash injection system would expand access and quick health service.
Through the initiative, about half of the funding or Sh81 billion will be channeled directly to local government authorities. This amount will go into financing front line health services in both private and public institutions.
The move to directly channel health funds to the councils would be welcome news following widespread complaints of embezzlements by the many layers of State bureaucracy. "
asante Barubaru, ni kwania njema serikali inafanya ifanyayo kupitia wafadhili wakuu ambao ni global fund ( muungano wa nchi zinazokubali ushoga , nchi zenye mfumo kristo tena wa kanisa katoliki etc...) ili kunufaisha jamii ya watanzania kwa umoja wao wa kiislamu, kikristu na kipagani...
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]