MAKAMU WA RAIS: Philipo mpango mama bikira Maria ni mama wa taifa letu la TANZANIA, ni msimamzi wa taifa letu Tanzania

MAKAMU WA RAIS: Philipo mpango mama bikira Maria ni mama wa taifa letu la TANZANIA, ni msimamzi wa taifa letu Tanzania

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
23,961
Reaction score
42,166
Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU MWENYEZI aliye juu sana , aketiye mahali pa juu palipoinuka, yeye aliye mwenze enzi, aliye ziumba mbigu na nchi, BABA mwema na mkarimu sana na mwenye huruma nyingi kwa watu wake yeye ambaye alimtuma mwanae wa pekee aje atukomboe

Jana nikiwa nasikiliza habari za kimataifa, nilimsikia makamu wa rais wa TANZANIA mheshimiwa Philipo mpango akihojiwa kutoka Vatican na kudai kuwa kuwa mama bikira Maria ni mama wa taifa letu la TANZANIA

Na huo ndo ukweli halisi
Abalikiwe sana mtumish wa MUNGU Philipo mpango kwa kulitambua hilo na kuliweka wazi

Amefufuka tuimbe aleluya
Amefufuka kweli kweli


SAYUNI BOY
 
Huo ndio ukweli wenyewe na Tanzania mtaendelea kuiona hivi hivi ikiwa ina amani siku zote iko mikono salama ya Mama Bikira Maria.

Jambo lilikamilishwa na safari ya Pope John Paulo wa II alipokanyaga ardhi ya Tanzania 1990 na akaibusu.

Mtakaoumia endeleeni kuumia lakini ndio ukweli na iko hivo
 
RC bhana ni Kama Imani iliyodumaa, haikuwi.

Ushauri: Mtafteni Mungu wa kweli, acheni kuabudu watu au vitu tofauti na Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho mtakatifu.
 
Ni imani ya wakatoliki, wana haki ya kuamini hivyo. Wale wenzangu na mimi nao wanaweza kuamini nchi hii inalindwa na Mungu kwa imani yao
 
Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU MWENYEZI aliye juu sana , aketiye mahali pa juu palipoinuka, yeye aliye mwenze enzi, aliye ziumba mbigu na nchi, BABA mwema na mkarimu sana na mwenye huruma nyingi kwa watu wake yeye ambaye alimtuma mwanae wa pekee aje atukomboe

Jana nikiwa nasikiliza habari za kimataifa, nilimsikia makamu wa rais wa TANZANIA mheshimiwa Philipo mpango akihojiwa kutoka Vatican na kudai kuwa kuwa mama bikira Maria ni mama wa taifa letu la TANZANIA

Na huo ndo ukweli halisi
Abalikiwe sana mtumish wa MUNGU Philipo mpango kwa kulitambua hilo na kuliweka wazi

Amefufuka tuimbe aleluya
Amefufuka kweli kweli


SAYUNI BOY
Imani zingine ajabu sana
 
Mtu anaongelea huko Vatican, tena kwa Pope, tatizo liko wapi? Hiyo ni imani ya wakatoliki na hawajalazimisha nasi tuamini hivyo.
Kwani angesema kuwa Mama Maria ni Mama wa kanisa au Mungu ni mlinzi wa Tanzania, angepungukiwa nini?? Kiongozi wa kitaifa anapaswa kuwa makini na kauli zake. Tanzania inalindwa na Mungu na sio Maria, Yesu wala Mohamed.
 
Kwani angesema kuwa Mama Maria ni Mama wa kabisa au Mungu ni mlinzi wa Tanzania, angepungukiwa nini?? Kiongozi wa kitaifa anapaswa kuwa makini na kauli zake. Tanzania inalindwa na Mungu na sio Maria, Yesu wala Mohamed.
Wewe una uhakika gani kwamba taifa la Tanzania linalindwa na Mungu? Lini mlikaa na Mungu akakuambia analinda hili taifa lenye kila aina ya watenda dhambi? Mafisadi, wazinzi huko mfano kitambaa cheupe, na kila aina ya uchafu?
Acha kila mtu aseme kulingana na imani yake kama huyo Dr Mpango, nawe sema unavyoamini basi.
 
Wewe una uhakika gani kwamba taifa la Tanzania linalindwa na Mungu? Lini mlikaa na Mungu akakuambia analinda hili taifa lenye kila aina ya watenda dhambi? Mafisadi, wazinzi huko mfano kitambaa cheupe, na kila aina ya uchafu?
Acha kila mtu aseme kulingana na imani yake kama huyo Dr Mpango, nawe sema unavyoamini basi.
You guys are fools. Ninamshukuru sana Mungu aliniondoa huko, sasa nina amani moyoni mwangu.
 
Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU MWENYEZI aliye juu sana , aketiye mahali pa juu palipoinuka, yeye aliye mwenze enzi, aliye ziumba mbigu na nchi, BABA mwema na mkarimu sana na mwenye huruma nyingi kwa watu wake yeye ambaye alimtuma mwanae wa pekee aje atukomboe

Jana nikiwa nasikiliza habari za kimataifa, nilimsikia makamu wa rais wa TANZANIA mheshimiwa Philipo mpango akihojiwa kutoka Vatican na kudai kuwa kuwa mama bikira Maria ni mama wa taifa letu la TANZANIA

Na huo ndo ukweli halisi
Abalikiwe sana mtumish wa MUNGU Philipo mpango kwa kulitambua hilo na kuliweka wazi

Amefufuka tuimbe aleluya
Amefufuka kweli kweli


SAYUNI BOY
Kuna wakati wasio na dini wanaweza kufikiri zaidi ya walio n hizi dini huu ni ushuhuda tosha. Mambo ya kiimani na kikanisa huwezi kuyaweka public ki nchi kwa style hii. Haya ni ya maknisani huko mkiwa ndani wenyewe. Nafkiri mstaafu msiba umemgusa sana hadi akapitiwa.
 
Tanzania na udini wapi na wapi?? You guys are fools. Unafikiri Waislamu na wasabato wataichukulije hii statement??
Hiyo mbona iko siku nyingi tangu enzi ya mwalimu Nyerere. Nchi iliwekwa chini ya Usimamizi wa Mama Bikira Maria kipindi cha Baba Mtakatifu John XXIII na akatunga sala ya Kuiombea Tanzania. Kwa hiyo Kikatoliki Tanzania inajulikana kwamba iko chini ya Ulinzi wa Mama Bikira Maria tangu mwaka 1962. Ilikuwa kidogo tu tuwatangazie kwamba Tanzania ni nchi ya Kikatoliki!
New Doc 04-27-2025 18.35.jpg
 
Huo ndio ukweli wenyewe na Tanzania mtaendelea kuiona hivi hivi ikiwa ina amani siku zote iko mikono salama ya Mama Bikira Maria.

Jambo lilikamilishwa na safari ya Pope John Paulo wa II alipokanyaga ardhi ya Tanzania 1990 na akaibusu.

Mtakaoumia endeleeni kuumia lakini ndio ukweli na iko hivo
wewe acha kupanic,twende taratibu, kwahiyo halipo mikononi mwa Mungu tena,bali kwa bikira tena maria? kwanini?
 
Back
Top Bottom