Makamu wa Rais Dkt. Mpango amtembelea Mjane Janeth Magufuli

Shadow7

JF-Expert Member
Sep 28, 2020
13,826
20,236
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli Mama Janeth Magufuli wakati alipomtembelea Nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam leo Mei 08,2021. Katikati ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…