Kulikuwa na sababu gani ya Waziri mkuu kufunga safari ya Chato? matumizi ya rasilimali !
Kumbe Mjane alikuwa ''safarini' kuja Dar!
JokaKuu
Kwani waziri mkuu alienda kumwona Janeth au mama mzazi wa Rais Magufuli?Kulikuwa na sababu gani ya Waziri mkuu kufunga safari ya Chato? matumizi ya rasilimali !
Kumbe Mjane alikuwa ''safarini' kuja Dar!
JokaKuu
wait ! si nilisoma alienda kumuona mama Magufuli.Kwani waziri mkuu alienda kumwona Janeth au mama mzazi wa Rais Magufuli?
Alienda kujua hali ya mama yake mwendazakeKulikuwa na sababu gani ya Waziri mkuu kufunga safari ya Chato? matumizi ya rasilimali !
Kumbe Mjane alikuwa ''safarini' kuja Dar!
JokaKuu
Wapi uliona?wait ! si nilisoma alienda kumuona mama Magufuli.
Aaah! niliposoma kumjulia hali Mama Magufuli nikaunganisha na kauli ya Mwanae 'mama anaumwa''Alienda kujua hali ya mama yake mwendazake
Mzee Philip Mpango ni mtu mmoja muungwana sana. Uungwana wake sio wa maigizo kwa maana yupo hivyo miaka nenda rudi.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli Mama Janeth Magufuli wakati alipomtembelea Nyumbani kwake Masaki
Mjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
Wadaka chozi ndio mda wetu huuMjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
You assumed!Aaah! niliposoma kumjulia hali Mama Magufuli nikaunganisha na kauli ya Mwanae 'mama anaumwa''
It's OK
Mzee kuna kitu nadhani usije kuwa umesahau ulikisema...Kulikuwa na sababu gani ya Waziri mkuu kufunga safari ya Chato? matumizi ya rasilimali !
Kumbe Mjane alikuwa ''safarini' kuja Dar!
JokaKuu