Makamu wa Rais Dkt. Mpango amtembelea Mjane Janeth Magufuli

Shadow7

JF-Expert Member
Sep 28, 2020
13,476
19,845
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli Mama Janeth Magufuli wakati alipomtembelea Nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam leo Mei 08,2021. Katikati ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.

Screen-Shot-2021-05-08-at-15.38.40.png


Screen-Shot-2021-05-08-at-15.38.52.png
 
Back
Top Bottom