Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

Kuna siku, zamani kiasi (1989) nilikuwa katika maonyesho ya biashara nchi za nje (wakati huo naishi nje ya Tanzania), kwa bahati akatokea mtu kwenye banda letu katika kuongea nae akaniuliza "Where are you from?" Nikamjibu "Tanzania" akaniambia "oohh I know Tanzania, where majority leave as minorities" sikumuelewa nikamuuliza anifafanunulie, akaniuliza tena "what is the Muslims population percentage wise?" Nikamjibu "over 50%" akaniambia "you are very close but its actually over 60%" nikamwambia "it could be, why?" Akaniambia "though you are the majority but you have less educated, less employed and less privileged you are minorities" sikumuelewa, lakini baada ya kurudi Tanzania (baada ya kuishi nje kwa muda mrefu sana), nikamkumbuka sana yule mtu na ndio nikamuelewa na nnazidi kumuelewa kila kukicha alikuwa anasema nini.
 
Mohamed,'
This is another face of Nyerere, no? Kuna mahali umetuambia kuwa Nyerere hakuweza kukabiliana na mtu uso kwa uso, mbona hapa anawamwagia machifu waziwazi bila kumung'unya maneno?

Jasusi,

Ungewaona hao waliokuwa nyuma yake pale Mtaa wa Mvita ungelielewa kwa nini alikuwa na nguvu kiasi kile miaka ile. "All the Whos Who of Mzizima" wako pale haikuwa "one on one."

Nikuongezee kitu.
Kijembe kile kilikuwa cha Chifu Kidaha David Makwaia.

Mohamed
 
Kuna siku, zamani kiasi (1989) nilikuwa katika maonyesho ya biashara nchi za nje (wakati huo naishi nje ya Tanzania), kwa bahati akatokea mtu kwenye banda letu katika kuongea nae akaniuliza "Where are you from?" Nikamjibu "Tanzania" akaniambia "oohh I know Tanzania, where majority leave as minorities" sikumuelewa nikamuuliza anifafanunulie, akaniuliza tena "what is the Muslims population percentage wise?" Nikamjibu "over 50%" akaniambia "you are very close but its actually over 60%" nikamwambia "it could be, why?" Akaniambia "though you are the majority but you have less educated, less employed and less privileged you are minorities" sikumuelewa, lakini baada ya kurudi Tanzania (baada ya kuishi nje kwa muda mrefu sana), nikamkumbuka sana yule mtu na ndio nikamuelewa na nnazidi kumuelewa kila kukicha alikuwa anasema nini.

Inawezekana uliyeongea naye alikuwa MS, ila ulikuwa humjui. Na kwa sababu ya kuangalia kila jambo kidinidini, ukafurahia na kuziamini. Ukarudi TZ na kuanza kutafuta data after conclusions!
Hii hapa chini ni excerpt kutoka US State department, ila nafikiri hutaiamini kwa vile data zao sio kama unavyozitaka.

People
Nationality: Noun and adjective--Tanzanian(s); Zanzibari(s).
Population: Mainland--41.8 million (2010 est.). Zanzibar--1.3 million (est.).
Religions: Muslim 35.0%, Christian 63.0%, other (traditional, Sikh, Hindu, Baha'i) 2.0%.
Language: Official--Kiswahili and English; national--Kiswahili.
Education: Attendance--73.2% mainland (primary), 71.4% Zanzibar. Literacy--females 67.0% mainland, 76.8% Zanzibar; males 79.9% mainland, 86.0% Zanzibar.
Health: Infant mortality rate--68/1,000. Life expectancy--52.4 years (2010 est.).
Work force: Agriculture--80.0%; industry, commerce, government--20.0%.

Source:TanzaniaUS state department.

Ukitaka unaweza kuamini zile za CIA world factbook, zinazoonesha: Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%

Believe what soothes your soul.

Lakini SISI tupo wengi. Na ninaposema SISI, ninamaanisha watanzania wote bila kujali dini zetu, lakini tunaojali utaifa na amani yetu, ambao hatuko tayari kudanganywa kwa stories za uongo zilizotokana na chuki binafsi.
 
Inawezekana uliyeongea naye alikuwa MS, ila ulikuwa humjui. Na kwa sababu ya kuangalia kila jambo kidinidini, ukafurahia na kuziamini. Ukarudi TZ na kuanza kutafuta data after conclusions!
Hii hapa chini ni excerpt kutoka US State department, ila nafikiri hutaiamini kwa vile data zao sio kama unavyozitaka.

People
Nationality: Noun and adjective--Tanzanian(s); Zanzibari(s).
Population: Mainland--41.8 million (2010 est.). Zanzibar--1.3 million (est.).
Religions: Muslim 35.0%, Christian 63.0%, other (traditional, Sikh, Hindu, Baha'i) 2.0%.
Language: Official--Kiswahili and English; national--Kiswahili.
Education: Attendance--73.2% mainland (primary), 71.4% Zanzibar. Literacy--females 67.0% mainland, 76.8% Zanzibar; males 79.9% mainland, 86.0% Zanzibar.
Health: Infant mortality rate--68/1,000. Life expectancy--52.4 years (2010 est.).
Work force: Agriculture--80.0%; industry, commerce, government--20.0%.

Source:TanzaniaUS state department.

Ukitaka unaweza kuamini zile za CIA world factbook, zinazoonesha: Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%

Believe what soothes your soul.

Lakini SISI tupo wengi. Na ninaposema SISI, ninamaanisha watanzania wote bila kujali dini zetu, lakini tunaojali utaifa na amani yetu, ambao hatuko tayari kudanganywa kwa stories za uongo zilizotokana na chuki binafsi.

Jee, wewe unaziamini hizo data? Kama jibu lako n ndio basi nami itakuwa ndio. Kama jibu lako sio nami itakuwa sio, kama jibu lako litakuwa lina "doubt" nami hali kadhalika.
 
Sheikh Mohamed,

Ahsante kwa complimentary. Heavy weight champions mmekutana baada ya kusomana kwa muda mrefu, na bahati iliyoje kila mmoja kamkubali mwenzie. Nadhani tutaendelea kushuhudia mipambano mingine, kama ya manila na kinshasa.

MM,

Mwanakijiji simuwezi ana "tricks" nyingi sana. Atakuzungusha jangwa zima huoni askari wake wamejificha wapi.

Ghafla anakushtukiza when you least expect him.

Lakini nina hakika kasoma mengi katika mnakasha huu.

Mohamed
 
Inawezekana uliyeongea naye alikuwa MS, ila ulikuwa humjui. Na kwa sababu ya kuangalia kila jambo kidinidini, ukafurahia na kuziamini. Ukarudi TZ na kuanza kutafuta data after conclusions!
Hii hapa chini ni excerpt kutoka US State department, ila nafikiri hutaiamini kwa vile data zao sio kama unavyozitaka.

People
Nationality: Noun and adjective--Tanzanian(s); Zanzibari(s).
Population: Mainland--41.8 million (2010 est.). Zanzibar--1.3 million (est.).
Religions: Muslim 35.0%, Christian 63.0%, other (traditional, Sikh, Hindu, Baha'i) 2.0%.
Language: Official--Kiswahili and English; national--Kiswahili.
Education: Attendance--73.2% mainland (primary), 71.4% Zanzibar. Literacy--females 67.0% mainland, 76.8% Zanzibar; males 79.9% mainland, 86.0% Zanzibar.
Health: Infant mortality rate--68/1,000. Life expectancy--52.4 years (2010 est.).
Work force: Agriculture--80.0%; industry, commerce, government--20.0%.

Source:TanzaniaUS state department.

Ukitaka unaweza kuamini zile za CIA world factbook, zinazoonesha: Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%

Believe what soothes your soul.

Lakini SISI tupo wengi. Na ninaposema SISI, ninamaanisha watanzania wote bila kujali dini zetu, lakini tunaojali utaifa na amani yetu, ambao hatuko tayari kudanganywa kwa stories za uongo zilizotokana na chuki binafsi.

Nilipo underline hakuna stories wala chuki katika maandishi ya Mohammed

Ila kuna evidence and facts (undisputed) kwamba nchi hii nyerere for 24 yrs alitumikia, aliwekeza na kupendelea kanisa kuliko taifa..

Hakuishia hapo aliwanyanyasa waislamu kwa makusudi ...mimi naanza kuamini kuwa alifanya kwasababu zifuatazo tukiacha neno chuki (maana si zuri)

Aliwapendelea wakristo na kuwabagua waislam ili apate dhawabu kwa mungu wake (udini)

Nyerere kwa hilo hamtaweza kumtetea asilani ( alikuwa na nafasi ya kufanya hivyo mwenyewe hakuweza)
 
Jee, wewe unaziamini hizo data? Kama jibu lako n ndio basi nami itakuwa ndio. Kama jibu lako sio nami itakuwa sio, kama jibu lako litakuwa lina "doubt" nami hali kadhalika.

FF,

Hebu chunguliana hii:

In order to appreciate the impending danger we need to agree thatMuslims are a majority[1] in Tanzania and in any civil upheaval largenumbers carry psychological advantages. The government has over the years beenmaking deliberate efforts to conceal this fact and to portray to the world thatMuslim-Christian religious distribution is more or less the same and at timesto give an impression that Tanzania is a Christian nation and Muslims are aminority.[2] Thegovernment to say the least has been very evasive on this question.[3] When thegovernment went into its first census after independence the government did notenvisage that the results would show Muslims as a majority. In the 1957 censusMuslims outnumbered Christians at a ratio of three to two. Ten years after in1967, in the post independence census Muslims were 30%, Christians 32% andlocal belief 37%. Reasons were not given for this sudden decrease of Muslims orthe growth of pagans. It is on record that the 1967 statistics were doctored toshow that Muslims were trailing behind Christians in numerical strength.[4] D.B.Barret gives statistics which show Muslims as a minority: Muslims 26%,Christians 45% and local belief 28%. Tanzania National Demographic Surveyfigures for 1973 have Muslims at 40%, Christians 38.9% and local belief 28%. Africa South of the Sahara shows thatMuslims are a majority in Tanzania at 60% this figure has remained constant inall its subsequent publications since 1991.[5]

Mohamed


[1] As if sensing danger the Catholic Church has in place a committeeresponsible for armed forces. This was revealed in a report to the Pope when hevisited Tanzania in 1990. Muslims have requested the government to make astatement on Catholic Church Committee on Armed Forces but so far thegovernment has not responded.
[2]There has neverbeen in history minorities in ethnicity or religion in any country to wage amajor war on a foreign power on behalf of majority or to mobilize people forindependence. Tanzania's experience will be an exception to the rule if it isproven that as minority Muslims mobilized against Germany and also providedleadership in the struggle for independence.
[3] Religious distribution inTanzania is among the three topics made "sensitive" by Julius Nyerere and wereas a result out of bounds for discussion for almost a quarter of a century. Theother two are the role of Muslims in the struggle for independence and that thestruggle for independence began before Julius Nyerere came to lead TanganyikaAfrican Association in 1953.
[4] It is worthwhile to quote in full a letter by one Amiri Mchomvu whichappeared in the Family Mirror Family Mirror about the 1967 census: Last month I chanced to come across AfricaInformation Newsletter, (September 26, 1994 issue) in which there was anarticle on Tanzania titled: Islamic fundamentalism worries the government. Ifound the article by a renewed Tanzanian journalist, Lawrence Kilimwiko to bevery anti-Islam. Besides, Mr. Kilimwiko says that about 40% of Tanzanians areChristians and 30% Muslims. I think that is a statistical error.During the 1967Population Census, the first census since independence, I was one of the censusenumerators in Tabora Region. It is believed that this was the only successfulof the population census conducted since independence (i.e. 1967, 1978 and1988) as it was wholly conducted by the form V students. Corruption,embezzlement, etc. of census funds and other administrative vices that plaguedthe last two census (1978 and 1988) were things unknown at that time. It wasthe only census which had probed Tanzanians' religious adherence. I clearlyremember the bulky questionnaire form, one question of which asked the persons'religion, whether he was Christian, Muslim, Other (e.g. Hindu, Budhist etc.) ortraditional, e.g. pagan. I also remember the census results; published by thethen Tanganyika Standard late that year 1967 (I have forgotten the date of theissue) in which it was shown that Muslim constituted 63% of the population. Nowwhoever thinks that such verdict is not correct I challenge him/her tosubstantiate otherwise with official results of the 1967 Census if they at allcan get hold of them. It is believed that in early 1970s the StatisticalDepartment was ordered to destroy all the 1967 census result simply becausethey showed the Muslim in Tanzania to be in majority.
[5] Africa South of the Sahara, EuropaPublication, London, No. 20 1991, p. 1027.

 
Kuna siku, zamani kiasi (1989) nilikuwa katika maonyesho ya biashara nchi za nje (wakati huo naishi nje ya Tanzania), kwa bahati akatokea mtu kwenye banda letu katika kuongea nae akaniuliza "Where are you from?" Nikamjibu "Tanzania" akaniambia "oohh I know Tanzania, where majority leave as minorities" sikumuelewa nikamuuliza anifafanunulie, akaniuliza tena "what is the Muslims population percentage wise?" Nikamjibu "over 50%" akaniambia "you are very close but its actually over 60%" nikamwambia "it could be, why?" Akaniambia "though you are the majority but you have less educated, less employed and less privileged you are minorities" sikumuelewa, lakini baada ya kurudi Tanzania (baada ya kuishi nje kwa muda mrefu sana), nikamkumbuka sana yule mtu na ndio nikamuelewa na nnazidi kumuelewa kila kukicha alikuwa anasema nini.

Acha porojo mwanamke, ulitaka tujue kwamba umewahi kuishi ughaibuni!

Kuhusu population ya waislamu kuwa over 50% or 60% unatakiwa ulete takwimu from a reliable and credible source.
Hatuhitaji kusikiliza masimulizi.
 
Kuna siku, zamani kiasi (1989) nilikuwa katika maonyesho ya biashara nchi za nje (wakati huo naishi nje ya Tanzania), kwa bahati akatokea mtu kwenye banda letu katika kuongea nae akaniuliza "Where are you from?" Nikamjibu "Tanzania" akaniambia "oohh I know Tanzania, where majority leave as minorities" sikumuelewa nikamuuliza anifafanunulie, akaniuliza tena "what is the Muslims population percentage wise?" Nikamjibu "over 50%" akaniambia "you are very close but its actually over 60%" nikamwambia "it could be, why?" Akaniambia "though you are the majority but you have less educated, less employed and less privileged you are minorities" sikumuelewa, lakini baada ya kurudi Tanzania (baada ya kuishi nje kwa muda mrefu sana), nikamkumbuka sana yule mtu na ndio nikamuelewa na nnazidi kumuelewa kila kukicha alikuwa anasema nini.
Huyo jamaa lazima alikuwa Mpakistan. Hata mimi pale Heathrow Airport nilikutana na jamaa wa Kipakistan, akaniuliza natoka wapi. Nikamwambia Tanzania. Akasema, "ninyi ndio mnaowadhulumu ndugu zetu Waislamu? Nikasema tunawadhulumu vipi? Akasema eti Waislamu ndio majority Bongo. Lakini kwa sasa sishangai kwa sababu Pakistan politics zao ni za udini. Hao ndio wamewafuga Taliban kule Afghanistan, ndio waliomficha Osama bin Laden mpaka Obama alipomvurumisha kwa risasi ya usoni. Sishangai. Na hao ndio walikuwa walezi wetu wa EAMWS.
 
Huyo jamaa lazima alikuwa Mpakistan. Hata mimi pale Heathrow Airport nilikutana na jamaa wa Kipakistan, akaniuliza natoka wapi. Nikamwambia Tanzania. Akasema, "ninyi ndio mnaowadhulumu ndugu zetu Waislamu? Nikasema tunawadhulumu vipi? Akasema eti Waislamu ndio majority Bongo. Lakini kwa sasa sishangai kwa sababu Pakistan politics zao ni za udini. Hao ndio wamewafuga Taliban kule Afghanistan, ndio waliomficha Osama bin Laden mpaka Obama alipomvurumisha kwa risasi ya usoni. Sishangai. Na hao ndio walikuwa walezi wetu wa EAMWS.

Vipi habari msikiti wa butiama umepata muafaka?

Nyerere hata fedha za kupewa kwa chuki unakataa kujenga..

Huyo babu udini ulimsumbua sana...

story za osama na obama ni far from Islam
 
Faiza Foxy said:
Kuna siku, zamani kiasi (1989) nilikuwa katika maonyesho ya biashara nchi za nje (wakati huo naishi nje ya Tanzania), kwa bahati akatokea mtu kwenye banda letu katika kuongea nae akaniuliza "Where are you from?" Nikamjibu "Tanzania" akaniambia "oohh I know Tanzania, where majority leave as minorities" sikumuelewa nikamuuliza anifafanunulie, akaniuliza tena "what is the Muslims population percentage wise?" Nikamjibu "over 50%" akaniambia "you are very close but its actually over 60%" nikamwambia "it could be, why?" Akaniambia "though you are the majority but you have less educated, less employed and less privileged you are minorities" sikumuelewa, lakini baada ya kurudi Tanzania (baada ya kuishi nje kwa muda mrefu sana), nikamkumbuka sana yule mtu na ndio nikamuelewa na nnazidi kumuelewa kila kukicha alikuwa anasema nini.

Maonyesho ya biashara
  • Mteja kwenye banda la maonyesho ya bishara Where are you from? Mwenye banda akamjijibu Tanganyika/Tanzania
  • Mteja kwenye banda la biashara akazidi kutoa data za biashara Tanzania, where majority leave as minorities. Mwenye banda hakuulewa akauliza kufafanuliwa
  • Mteja kwenyda banda la biashara akauliza what is the Muslims population percentage wise? Mwenye bana akajibu over 50%
  • Mteja akazidi kumwaga fact za takwimu its actually over 60%. Mwenye banda mtanzania.tanganyika akauliza it could be, why?
  • Mteja anaonyesha kuna quanitity sio Quality kwa kumwabia Faiza Fozy: you are the majority. but you have less educated, less employedand less privilegedyou are minorities
Kwahiyo faiza foxy anajua kinachotakiwa sio QUANTITY ni QUALITY lakini bado hajui njia sahihi ya kuachive quality with "majority" muslim
faiza foxy anaonyesha kwa Kukosa Qulity anatumia muda wa banda la maonyesho ya bishara kungena issues unrealted to neither maonyesho nor biashara. Inawezekana hata huyo mtu hizo data ni za kubuni kama ni alikuwa dume inawezeka hiyo ndio ilikuwa gear yake number moja ya...........


Vile Vile dada faiza Foxy katika context ya majority wamo pia wasukuma. Hili ni kabila mojrity Tanzania. Sio tu Majority lakini mikoa yao( Shinyanga, Mwanza ) imebahatik kuwa na rasimali kamai kaa dhahabu , alamasi, mistu, Pamba etc. Na hawa wengi ni wakristu. Unasemje hapo. Huyu Nyerere ni kweli alikuwa mdini? NO
 
Inawezekana uliyeongea naye alikuwa MS, ila ulikuwa humjui. Na kwa sababu ya kuangalia kila jambo kidinidini, ukafurahia na kuziamini. Ukarudi TZ na kuanza kutafuta data after conclusions!
Hii hapa chini ni excerpt kutoka US State department, ila nafikiri hutaiamini kwa vile data zao sio kama unavyozitaka.

People
Nationality: Noun and adjective--Tanzanian(s); Zanzibari(s).
Population: Mainland--41.8 million (2010 est.). Zanzibar--1.3 million (est.).
Religions: Muslim 35.0%, Christian 63.0%, other (traditional, Sikh, Hindu, Baha'i) 2.0%.
Language: Official--Kiswahili and English; national--Kiswahili.
Education: Attendance--73.2% mainland (primary), 71.4% Zanzibar. Literacy--females 67.0% mainland, 76.8% Zanzibar; males 79.9% mainland, 86.0% Zanzibar.
Health: Infant mortality rate--68/1,000. Life expectancy--52.4 years (2010 est.).
Work force: Agriculture--80.0%; industry, commerce, government--20.0%.

Source:TanzaniaUS state department.

Ukitaka unaweza kuamini zile za CIA world factbook, zinazoonesha: Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%

Believe what soothes your soul.

Lakini SISI tupo wengi. Na ninaposema SISI, ninamaanisha watanzania wote bila kujali dini zetu, lakini tunaojali utaifa na amani yetu, ambao hatuko tayari kudanganywa kwa stories za uongo zilizotokana na chuki binafsi.

Kwanza Nanren,

US department of state ilikuwa inafanya case study na hizo figures unazozisema zilikuwa ni estimation (maana sio actual data). Kasome katika website zao wamesema ni estimations na sio actual data mkuu ndio maana figures za CIA hazikubadilishwa hadi leo. Demographic za Tanzania ambazo ni sahihi hizi hapa za CIA.

mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim

https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html

Hata hivyo subiri 2012 sensa ikimalizika utajua mgawanyiko wa taifa hili ukoje labda serikali ifanye kama ilivyofanya 2002 kufuta zile taarifa za sensa ya dini Tanzania kwa madai ya kuwa dini ni very sensitive issues.

Vile vile tafadhali rekebisha suala la sisi maana hakuna mwislamu asiyefahamu haya anayozungumza Mohamed Said. Waislamu wengi wanayafahamu haya either yote, baadhi au kiwango fulani. Mohamed Said alichokifanya ni in depth research ndio maana anaubavu na authority ya kuwachallenge. Kuna chuki gani unaweza kuitaja ambayo Mohamed ameileta??
 
Huyo jamaa lazima alikuwa Mpakistan. Hata mimi pale Heathrow Airport nilikutana na jamaa wa Kipakistan, akaniuliza natoka wapi. Nikamwambia Tanzania. Akasema, "ninyi ndio mnaowadhulumu ndugu zetu Waislamu? Nikasema tunawadhulumu vipi? Akasema eti Waislamu ndio majority Bongo. Lakini kwa sasa sishangai kwa sababu Pakistan politics zao ni za udini. Hao ndio wamewafuga Taliban kule Afghanistan, ndio waliomficha Osama bin Laden mpaka Obama alipomvurumisha kwa risasi ya usoni. Sishangai. Na hao ndio walikuwa walezi wetu wa EAMWS.

Jasusi wala usiseme ! Ni kweli aliyepanda hizi mbegu za chuki ndani ya taifa letu alikuwa Mpakistani na haya ya akina Mohamed Said ni matunda tu ya kazi yake. Amini usiamini wakati huo alikuwa ni mhadhiri wa hesabu hapa UDSM miaka hiyo ! Wapakistan ! Kwa chokochoko za kidini ndio wenyewe haswaaa ! Hao jamaa ndio walisababisha India kugawanyika na kuwa mataifa mawili, India na Pakistan, katika misingi ya dini.
 
Jasusi wala usiseme ! Ni kweli aliyepanda hizi mbegu za chuki ndani ya taifa letu alikuwa Mpakistani na haya ya akina Mohamed Said ni matunda tu ya kazi yake. Amini usiamini wakati huo alikuwa ni mhadhiri wa hesabu hapa UDSM miaka hiyo ! Wapakistan ! Kwa chokochoko za kidini ndio wenyewe haswaaa ! Hao jamaa ndio walisababisha India kugawanyika na kuwa mataifa mawili, India na Pakistan, katika misingi ya dini.

I see so unataka kutuambia waislamu ni magaidi? Vp wale waisrael wanaoua watoto wadogo kule Gaza na kwengineko nao utawaita akina nani? US wanaoua watoto wadogo Iraq na Afghanistan, Waserb walioua wabosnia kwa halaiki kule srebeznika.

Acheni fear mongering tactics zenu hizo ni dalili ya kushindwa hoja !!!!!
 
Nilipo underline hakuna uhusiano na mada unajaribu ku-attack bibie kwakuwa umeshindwa hoja period..
Hapana mkuu wangu labda wewe hukuyasoma yake alipoandika hivi:-
Nakusitikia sana kwa mengi, kwanza kwa kuuelezea Uislaam visivyo lakini kwa kuwa sitaki kuharibu mjadala ntakuwacha kama ulivyo kwa leo. Kwa uchache Uislaam ni kujisalimisha kwa Allah, Nyerere hajafikia huko kabisa. Kwa hiyo huwezi kusema "Nyerere kayafanya ya Kiislaam kuliko hata masheikh" huko ni kutokuujuwa Uislaam, na nilikueleza siku nyingi. Inatakiwa uende sana kwenye darsa za kiislaam kama unataka kuujuwa Uislaam si kwa kuusoma mtandaoni tu.

Haya kwangu mimi ni matusi makubwa sana kutoka kwa huyu bibie tena kanitafuta muda na najaribu sana kukaa naye mbali maana namheshimu yeye na mumewe ni watu mtaani (hood) nilipokuwa sana miaka ya 80 hadi 86 kabla sijaondoka. Na jamaa wote wa Jugnu wananijua. Mbali na hayo, kinachonichosha zaidi na huyu bibie ni kwamba huingilia hoja ili mradi kuchochea, hana mchango isipokuwa kuchokonoa chokonoa kwa kusifia na kutoa miji lakini hafuati utaratibu wa mjadala.

Mathlan ukiuliza swali na umelielekeza kwangu, mtu yeyote anaweza kujibu ikiwa analijua jibu ama kuna swala ktk hoja linalomtatiza atauliza kutaka kupata ufafanuzi lakini sii hivyo kwa Faiza.. Yeye maadam anayezungumza ni upande wa pili basi ni mashambulizi tu hata kama hana jibu wala swali maadam kwake kumshusha mtu chini ndio agenda yake..Hivi kwani mimi sielewi jinsi waislaam walivyopata shida?.. kweli siufahamu Uislaam kwa sababu nazungumza nje ya kabati la Udini?

Hakuna mahala popote niliposema mimi kwamba Kitabu na maelezo ya Mohammed Said ni uongo wala hayana maana, isipokuwa mara zote zimesema sikupendelea yeye alipotumia Dini kuwa sababu ya sifa za hawa wazee wetu kwa sababu waliyafanya waloyafanya kwa uzalendo na Utanzania wao. They happened to be Muslims kama walivyoweza kufanya Wakristu wengine ambao hawapi sifa za kufanya waloyafanya kama Wakristu. hatuwezi kudai mafanikio ya nchi yetu kwa kutazama rangi zetu ama dini zetu ingawa kuna ukweli wa wale waliohusika zaidi. Vita ya kupigannia Uhuru haikuwa ya waislaam bali ya Watanzania wote na ndivyo inavyotakiwa kuhubiriwa..

Mimi nipo karibu sana na Familia ya mzee Sykes na kwa bahati nzuri nipo pia karibu sana na familia ya Marehemu Sheikh Kassim hawa watu nilokua nao karibu miaka na najua mengi sana kuhusiana na harakati za Waislaam ktk kuitafuta haki lakini kwa mtazamo tofauti kwa sababu mimi naitafuta suluhu na sii mashambulizi... Mada hii imekwenda kurasa ngapi?.. lakini hatkuna hata sehemu moja tumefikia kuelimishana isipokuwa inapingwa kitu ambacho kimeandikwa toka ukurasa wa kwanza. Ukirudi nyuma na kusoma kurasa za mwanzo utaona hakuna tofauti kabisa na hapa tulipofika kwa sababu kila mmoja wetu anatafuta mchawi ili hali mchawi kisha kufa, na hivyo kupoteza imani za kisayansi na kutumia zaidi zile za kiasili...

Tanzania leo inaweza kabisa kufuta umaskini na waislaam kuipata haki yao ikiwa Katiba itajumuisha wananchi wote ktk mfumo ambao hauna Ubaguzi..Waislaam hawakuonewa kwa sababu wao ni waislaam isipokuwa Wakristu walitutangulia toka mkoloni na hivyo inatakiwa waislaam kukimbia wakati wakristu wakitembea kama itawezekana..Na labda ktk kuiweka sawa hoja yangu ni kwamba sii vizuri kuwalaumu Wazungu na waarabu kwa kututawala isipokuwa unaukataa mfumo ulosababisha ukoloni.. Kwa Mbara athari za kutawaliwa na Mjarumani na Muingereza zinajitokeza kwa Waislaam vivyo hivyo athari za kutawaliwa na Waarabu zinajionyesha huko Zanzibar na Pemba kwa wakristu, haina maana Karume ndiye alikuwa chimbuko na alikuwa kiongozi asiyetaka maendeleo ya Wakristu..

Kinachotakiwa ni kutafuta suluhu ya matatizo yanayoipata jamii yetu na sio kutafuta ugonvi na kibaya zaidi kwa kutumia dini zetu wakati tunachokitaka haswa ni demokrasia ya kweli na haki za wananchi wote. Do we recognize our elders? - Jibu nii hapana, na hapana kwa sababu ndio hulka ya binadamu na tawala zote. Hawa wazee wetu ni sawa na wapishi wa chakula sifa zote hupewa mwenye sherehe..Na ndio maana nikauliza mbona sijawahi kuona mtu akimzungumzia Cecil Matola mwenyekiti wa kwanza wa TAA?..
 
Sikiliza niwaambie, Waislaam ni wanafik na ndio maana hawaendelei wala kunufaika, awe Rais Muislaam au Mkristo au hana dini.

Unafik wa Waislaam unawapelekea kutokuwa na mshikamano kama wanavyofundishwa.

Hawana maana hata kidogo.
 
Kuna siku, zamani kiasi (1989) nilikuwa katika maonyesho ya biashara nchi za nje (wakati huo naishi nje ya Tanzania), kwa bahati akatokea mtu kwenye banda letu katika kuongea nae akaniuliza "Where are you from?" Nikamjibu "Tanzania" akaniambia "oohh I know Tanzania, where majority leave as minorities" sikumuelewa nikamuuliza anifafanunulie, akaniuliza tena "what is the Muslims population percentage wise?" Nikamjibu "over 50%" akaniambia "you are very close but its actually over 60%" nikamwambia "it could be, why?" Akaniambia "though you are the majority but you have less educated, less employed and less privileged you are minorities" sikumuelewa, lakini baada ya kurudi Tanzania (baada ya kuishi nje kwa muda mrefu sana), nikamkumbuka sana yule mtu na ndio nikamuelewa na nnazidi kumuelewa kila kukicha alikuwa anasema nini.

hizi ndio porojo ambazo zutmezikataa sisi wengine.. we mtu anakuambia "ni 60 percent" unakubali na kuamini tu hata huulizi relevant questions?
 
Back
Top Bottom