Mkandara,
Ndugu yangu tosheka na kwamba wengine tulikosa nafasi kwa sababu ya majina yetu. Kuna mzee wangu moja alipelekwa kusoma shule ya kikatoliki kwasababu ya uhaba wa shule zengine na ikabidi abadilishe jina lake ili aweze kuingia humo ndani. But tuachane na suala hilo pengine kuna sababu zengine zilichangia because I do not like to mourn the past.
Unapoyazungumza haya ya sasa na sheria kuwalinda wenye nazo source ya matatizo haya ni Nyerere. Kwanini mfumo aliouanzisha wa ujamaa ulipelekea jamii ya wateule nchini na wasiokuwa watawala. Tulikuwa tunasikia familia za kiteule tu Kuanzia Nyerere, Rupia, Bomani etc familia zengine za kimaskini zikawa hazisikiki. Mfumo wa utopia uliokuwapo madarakani ulipelekea kila kitu kikawa centralized na hatukuweza kuuliza kwanini imekuwa hivi badala ya vile. Isitoshe idara ya usalama wa taifa ilikuwa haifanyi kazi kwa interest ya taifa bali ikifanya kwa interest ya mfumo wa nchi. Ndio sababu watu kama akina Oscar Kambona, Mtei , Babu na wengineo wengi walikimbia nchi kwasababu waliyaonamapungufu wakaamua kuondoka nchini kuokoa maisha yao. Mfumo huo sasa ukaja ukarithiwa na mabepari wa nchi na wanautumia kulinda maslahi yao. Hivyo kabla hujaulalamikia mfumo pengine tuuliza mfumo huu ulianzia vp hadi ukafikia ulivyo sasa hivi.
HIVYO BASI KABLA HUJAANZA KUZUNGUMZIA MFUMO ULIOPO ULIZIA MFUMO HUO ULIANZIA WAPI? Anyway hiyo sioni jambo la msingi suala la msingi ni kwanini kuna imbalance katika education and social development between Muslims and Christians. Umesema sana kuhusu wakristo kuendeleza shule zao na jamii zao hata hivyo nimekuuliza swali msingi kabisa JE SERIKALI INAWAPA HELA WAISLAMU KAMA INAVYOWAPA WAKRISTO???? Hili swali haulijibu badala yake unakimbilia kujustify kwanini wakristo wanapewa hela. Labda nikuongezee swali jengine hivi unafahamu kuna taasisi na shule za waislamu zilichukuliwa before independence na viwanja vingi vya waislamu vilichukuliwa baada ya kutangazwa kwa azimio la arusha. Je viwanja hivyo wenye navyo walirudishiwa kihalali?
Mkandara usiyaguse ya sasa kwanza kabla hatujamaliza ya zamani ndugu yangu. Sifa moja ya usomi is to know how ask the right question at the right time and place sio vyenginevyo.
Mdondoaji,
Mtei hajawahi kuikimbia Tanzania.