Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

Mkandara,

Ndugu yangu tosheka na kwamba wengine tulikosa nafasi kwa sababu ya majina yetu. Kuna mzee wangu moja alipelekwa kusoma shule ya kikatoliki kwasababu ya uhaba wa shule zengine na ikabidi abadilishe jina lake ili aweze kuingia humo ndani. But tuachane na suala hilo pengine kuna sababu zengine zilichangia because I do not like to mourn the past.

Unapoyazungumza haya ya sasa na sheria kuwalinda wenye nazo source ya matatizo haya ni Nyerere. Kwanini mfumo aliouanzisha wa ujamaa ulipelekea jamii ya wateule nchini na wasiokuwa watawala. Tulikuwa tunasikia familia za kiteule tu Kuanzia Nyerere, Rupia, Bomani etc familia zengine za kimaskini zikawa hazisikiki. Mfumo wa utopia uliokuwapo madarakani ulipelekea kila kitu kikawa centralized na hatukuweza kuuliza kwanini imekuwa hivi badala ya vile. Isitoshe idara ya usalama wa taifa ilikuwa haifanyi kazi kwa interest ya taifa bali ikifanya kwa interest ya mfumo wa nchi. Ndio sababu watu kama akina Oscar Kambona, Mtei , Babu na wengineo wengi walikimbia nchi kwasababu waliyaonamapungufu wakaamua kuondoka nchini kuokoa maisha yao. Mfumo huo sasa ukaja ukarithiwa na mabepari wa nchi na wanautumia kulinda maslahi yao. Hivyo kabla hujaulalamikia mfumo pengine tuuliza mfumo huu ulianzia vp hadi ukafikia ulivyo sasa hivi.

HIVYO BASI KABLA HUJAANZA KUZUNGUMZIA MFUMO ULIOPO ULIZIA MFUMO HUO ULIANZIA WAPI? Anyway hiyo sioni jambo la msingi suala la msingi ni kwanini kuna imbalance katika education and social development between Muslims and Christians. Umesema sana kuhusu wakristo kuendeleza shule zao na jamii zao hata hivyo nimekuuliza swali msingi kabisa JE SERIKALI INAWAPA HELA WAISLAMU KAMA INAVYOWAPA WAKRISTO???? Hili swali haulijibu badala yake unakimbilia kujustify kwanini wakristo wanapewa hela. Labda nikuongezee swali jengine hivi unafahamu kuna taasisi na shule za waislamu zilichukuliwa before independence na viwanja vingi vya waislamu vilichukuliwa baada ya kutangazwa kwa azimio la arusha. Je viwanja hivyo wenye navyo walirudishiwa kihalali?

Mkandara usiyaguse ya sasa kwanza kabla hatujamaliza ya zamani ndugu yangu. Sifa moja ya usomi is to know how ask the right question at the right time and place sio vyenginevyo.

Mdondoaji,
Mtei hajawahi kuikimbia Tanzania.
 
Jasusi,
Kenya alienda kufanya nini?
Mtei alienda Kenya mwaka gani? Mtei alipoacha kazi alirudi Arusha shambani kwake. Miaka miwili au mitatu baadaye ilikuwa zamu ya Tanzania kuwa mwenyekiti kwenye bodi ya IMF. Nyerere akamteua Mtei kujaza nafasi hiyo na Mtei akahamia hapa Washington D.C. Amekaa miaka mitano na zamu yetu ilipomalizika akarejea nyumbani. He has never been an exile.
 
Mtei alienda Kenya mwaka gani? Mtei alipoacha kazi alirudi Arusha shambani kwake. Miaka miwili au mitatu baadaye ilikuwa zamu ya Tanzania kuwa mwenyekiti kwenye bodi ya IMF. Nyerere akamteua Mtei kujaza nafasi hiyo na Mtei akahamia hapa Washington D.C. Amekaa miaka mitano na zamu yetu ilipomalizika akarejea nyumbani. He has never been an exile.

Okay sorry sana nimechemka kwani nafahamu alihamia Kenya Nairobi akifanya kazi huko. Anyway shukrani kwa kunirekebisha mkuu but I still stand at my point.
 
Mkandara,

Ndugu yangu tosheka na kwamba wengine tulikosa nafasi kwa sababu ya majina yetu. Kuna mzee wangu moja alipelekwa kusoma shule ya kikatoliki kwasababu ya uhaba wa shule zengine na ikabidi abadilishe jina lake ili aweze kuingia humo ndani. But tuachane na suala hilo pengine kuna sababu zengine zilichangia because I do not like to mourn the past.

Unapoyazungumza haya ya sasa na sheria kuwalinda wenye nazo source ya matatizo haya ni Nyerere. Kwanini mfumo aliouanzisha wa ujamaa ulipelekea jamii ya wateule nchini na wasiokuwa watawala. Tulikuwa tunasikia familia za kiteule tu Kuanzia Nyerere, Rupia, Bomani etc familia zengine za kimaskini zikawa hazisikiki. Mfumo wa utopia uliokuwapo madarakani ulipelekea kila kitu kikawa centralized na hatukuweza kuuliza kwanini imekuwa hivi badala ya vile. Isitoshe idara ya usalama wa taifa ilikuwa haifanyi kazi kwa interest ya taifa bali ikifanya kwa interest ya mfumo wa nchi. Ndio sababu watu kama akina Oscar Kambona, Mtei , Babu na wengineo wengi walikimbia nchi kwasababu waliyaonamapungufu wakaamua kuondoka nchini kuokoa maisha yao. Mfumo huo sasa ukaja ukarithiwa na mabepari wa nchi na wanautumia kulinda maslahi yao. Hivyo kabla hujaulalamikia mfumo pengine tuuliza mfumo huu ulianzia vp hadi ukafikia ulivyo sasa hivi.

HIVYO BASI KABLA HUJAANZA KUZUNGUMZIA MFUMO ULIOPO ULIZIA MFUMO HUO ULIANZIA WAPI? Anyway hiyo sioni jambo la msingi suala la msingi ni kwanini kuna imbalance katika education and social development between Muslims and Christians. Umesema sana kuhusu wakristo kuendeleza shule zao na jamii zao hata hivyo nimekuuliza swali msingi kabisa JE SERIKALI INAWAPA HELA WAISLAMU KAMA INAVYOWAPA WAKRISTO???? Hili swali haulijibu badala yake unakimbilia kujustify kwanini wakristo wanapewa hela. Labda nikuongezee swali jengine hivi unafahamu kuna taasisi na shule za waislamu zilichukuliwa before independence na viwanja vingi vya waislamu vilichukuliwa baada ya kutangazwa kwa azimio la arusha. Je viwanja hivyo wenye navyo walirudishiwa kihalali?

Mkandara usiyaguse ya sasa kwanza kabla hatujamaliza ya zamani ndugu yangu. Sifa moja ya usomi is to know how ask the right question at the right time and place sio vyenginevyo.
Nakubaliana na wewe sana pale unaposema unapozungumzia ya zamani kwa maana ya umejifunza makosa gani yalifanyika zamani na sii kujaribu kurekebisha ya zamani kwa kutazama mhusika isipokuwa mfumo ulosababisha kuwepo kwa udhalimu ule. Kwa mfano hatuwezi kusahau tuliotoka ktk Utumwa na adha zake kwa kuwatazama waarabu na wazungu na tukashindwa kuutazama mfumo ulosababisha biashara ya Utumwa ikawa halali na kuuondoa. Bila kufanya hivyo sisi wenyewe tunaweza kuendesha biashara ya utumwa chini ya mfumo ambao tulishindwa kuuondoa kwa kufikiria kwamba kupambana na waarabu na wazungu inatosha..Adui yetu ktk Utumwa hakuwa mwarabu wala mzungu bali mfumo wa biashara ulohalalisha Utumwa. Na nadhani hata ktk hilo tumeshindwa kwa sababu leo hii kuna Utumwa Tanzania na dunaini kote kuliko hata wakati ule wa kutawaliwa lakini hatuuoni kwani tulishindwa kuunda sheria zinazopingana na utumwa wa aina yeyote ila tukachukua zaidi kuharamisha KITENDO cha Waarabu na Wazungu kuja kuchukua watumwa Afrika na kuwapeleka makwao..

Sii kweli tena unaposema sheria ya kuwalinda wenye nazo source yake ni Nyerere haya siii ya kweli kwa sababu hakuna mtu aliyechukiwa na wenye nazo kama Nyerere. Nyerere ndiye aliyeleta Umaskini nchini na atachukiwa kwa sababu ya kuwapa umaskini hata wale waliokuwa matajiri. Kina Bomani, Sykes, Rupia, Mwapachu hawa walikuwa na daraja lao ktk uongozi na huwezi kukataa ukweli kwamba hata wakati wa mitume maswahaba (Apostles) walikuwa na daraja kubwa zaidi ya maamuma..

Na hata hao mitume walikutana na wanafunzi ambao hawakukubaliana nao hivyo huwezi kutumia majina ya kina Kambona na Mtei kuwa sababu ya mfumo mbaya wa upendeleo hali mtu kama Kambona alitaka zaidi mfumo unaojenga matabaka yaani dhidi ya utaifishaji na mashule. Nje ya wadhifa na heshima hizo hawa watu hawakuwa na mkono ndani ya mali na utajiri wa nchi yetu zaidi ya mwananchi mwingine. Tumesoma na watoto wao ktk shule na wengine hata kwenda JKT na kadhalika..


Sina sababu ya kutaka kurudia historia ya nchi yangu kwa sababu nimeishi wakati historia ya utawala wa Nyerere na mimi ni shahidi mkubwa zaidi wa utawala wa Nyerere kuliko utawala wa Mwinyi, Mkapa au JK. MFUMO huu wa kuwagawa wananchi, ulianza kwa MKOLONI na Umerudishwa na MWINYI au niseme CCM!....tuliyaona wakati wa NCCR wakiitwa chama cha Wachagga, CUF chama cha Waislaam na sasa hivi Chadema chama cha Wakristu, wakati CCM ikiendesha siasa zake za ubaguzi.

Kwa wanaoona mabaya ya Nyerere ktk mfumo kristu hawa hawana sababu zaidi ya dini yake lakini nitasema tena Nyerere kayafanya mengi ya kiislaam kuliko hata masheikh wenyewe. Uislaam sii kuvaa joho na kusimama mbele kusalisha bali Uislaam ni imani inayojenga jinsi ya binadamu tunavyoweza kuishi kama binadamu - Kuthamini UTU wa binadamu wote na kuharamisha haramu zote regardless...
 
Nakubaliana na wewe sana pale unaposema unapozungumzia ya zamani kwa maana ya umejifunza makosa gani yalifanyika zamani na sii kujaribu kurekebisha ya zamani kwa kutazama mhusika isipokuwa mfumo ulosababisha kuwepo kwa udhalimu ule. Kwa mfano hatuwezi kusahau tuliotoka ktk Utumwa na adha zake kwa kuwatazama waarabu na wazungu na tukashindwa kuutazama mfumo ulosababisha biashara ya Utumwa ikawa halali na kuuondoa. Bila kufanya hivyo sisi wenyewe tunaweza kuendesha biashara ya utumwa chini ya mfumo ambao tulishindwa kuuondoa kwa kufikiria kwamba kupambana na waarabu na wazungu inatosha..Adui yetu ktk Utumwa hakuwa mwarabu wala mzungu bali mfumo wa biashara ulohalalisha Utumwa. Na nadhani hata ktk hilo tumeshindwa kwa sababu leo hii kuna Utumwa Tanzania na dunaini kote kuliko hata wakati ule wa kutawaliwa lakini hatuuoni kwani tulishindwa kuunda sheria zinazopingana na utumwa wa aina yeyote ila tukachukua zaidi kuharamisha KITENDO cha Waarabu na Wazungu kuja kuchukua watumwa Afrika na kuwapeleka makwao..

Sii kweli tena unaposema sheria ya kuwalinda wenye nazo source yake ni Nyerere haya siii ya kweli kwa sababu hakuna mtu aliyechukiwa na wenye nazo kama Nyerere. Nyerere ndiye aliyeleta Umaskini nchini na atachukiwa kwa sababu ya kuwapa umaskini hata wale waliokuwa matajiri. Kina Bomani, Sykes, Rupia, Mwapachu hawa walikuwa na daraja lao ktk uongozi na huwezi kukataa ukweli kwamba hata wakati wa mitume maswahaba (Apostles) walikuwa na daraja kubwa zaidi ya maamuma..

Na hata hao mitume walikutana na wanafunzi ambao hawakukubaliana nao hivyo huwezi kutumia majina ya kina Kambona na Mtei kuwa sababu ya mfumo mbaya wa upendeleo hali mtu kama Kambona alitaka zaidi mfumo unaojenga matabaka yaani dhidi ya utaifishaji na mashule. Nje ya wadhifa na heshima hizo hawa watu hawakuwa na mkono ndani ya mali na utajiri wa nchi yetu zaidi ya mwananchi mwingine. Tumesoma na watoto wao ktk shule na wengine hata kwenda JKT na kadhalika..


Sina sababu ya kutaka kurudia historia ya nchi yangu kwa sababu nimeishi wakati historia ya utawala wa Nyerere na mimi ni shahidi mkubwa zaidi wa utawala wa Nyerere kuliko utawala wa Mwinyi, Mkapa au JK. Kwa wanaoona mabaya ya Nyerere ktk mfumo kristu hawa hawana sababu zaidi ya dini yake lakini nitasema tena Nyerere kayafanya mengi ya kiislaam kuliko hata masheikh wenyewe. Uislaam sii kuvaa joho na kusimama mbele kusalisha bali Uislaam ni imani inayojenga jinsi ya binadamu tunavyoweza kuishi kama binadamu - Kuthamini UTU wa binadamu wote na kuharamisha haramu zote regardless...

Nakusitikia sana kwa mengi, kwanza kwa kuuelezea Uislaam visivyo lakini kwa kuwa sitaki kuharibu mjadala ntakuwacha kama ulivyo kwa leo. Kwa uchache Uislaam ni kujisalimisha kwa Allah, Nyerere hajafikia huko kabisa. Kwa hiyo huwezi kusema "Nyerere kayafanya ya Kiislaam kuliko hata masheikh" huko ni kutokuujuwa Uislaam, na nilikueleza siku nyingi. Inatakiwa uende sana kwenye darsa za kiislaam kama unataka kuujuwa Uislaam si kwa kuusoma mtandaoni tu.
 
Nakusitikia sana kwa mengi, kwanza kwa kuuelezea Uislaam visivyo lakini kwa kuwa sitaki kuharibu mjadala ntakuwacha kama ulivyo kwa leo. Kwa uchache Uislaam ni kujisalimisha kwa Allah, Nyerere hajafikia huko kabisa. Kwa hiyo huwezi kusema "Nyerere kayafanya ya Kiislaam kuliko hata masheikh" huko ni kutokuujuwa Uislaam, na nilikueleza siku nyingi. Inatakiwa uende sana kwenye darsa za kiislaam kama unataka kuujuwa Uislaam si kwa kuusoma mtandaoni tu.
Bibie huelewi na huta elewa nini Uislaam ktk matendo. Pengine sii kosa lako bali elimu alokunyima Nyerere inaweza kuwa sababu! zamani nilikuwa simwelewi Sitta aliposema mambo ya kike kike, lakini nadhani sasa namwelewa vizuri!
 
Bibie huelewi na huta elewa nini Uislaam ktk matendo. Pengine sii kosa lako bali elimu alokunyima Nyerere inaweza kuwa sababu!

Hayo unasema wewe kuhusu mimi, mimi nnakueleza wewe kuhusu Uislaam, Nyerere hakuwa na matendo ya Kiislaam na wala usiende huko, hukujuwi. Full Stop.
 
Duuh! Haya pia wayajua? Sikuwezi!

Faiza Foxy sikuitwa bure, mwanamke pekee niliyekuwa nafanya mazoezi ya boxing na wanaume pale Arnatoglou Hall (ingawa si kwa muda mrefu) na baada ya hapo nikahamia DI kujifunza karate. Huyo ndio FF.

Knowledge yangu ni above average, sijisifu ni ukweli.

Prove me wrong if you can, kwa hayo ya juu hapo. Kama nilivyo kugaragaza ya Mwitongo na haya nna uwezo nayo.
 
Unapokiri na kubaini kwa Ulimi lakini ukafanya kufuru inakuondoa ktk Uislaam.. Hivyo elewa kwanza Uislaam ni kitu gani...Ebu soma signature yako inasema nini?..Unadakia dakia issue utafikiri tupo hapa ktk Kitchen party?..Nikisema Faiza huyafanya mengi ya kiume inakufanya wewe mwanaume?..
 
Unapokiri na kubaini kwa Ulimi lakini ukafanya kufuru inakuondoa ktk Uislaam.. Hivyo elewa kwanza Uislaam ni kitu gani...Ebu soma signature yako inasema nini?..Unadakia dakia issue utafikiri tupo hapa ktk Kitchen party?..Nikisema Faiza huyafanya mengi ya kiume inakufanya wewe mwanaume?..

Hayo yote unasema wewe, mimi nakuambia tena Nyerere hajafanya ya Kiislaam na huko usiende utakosea, sitaki kuharibu mada ya watu ukitaka tulijadili hili lifungulie nyuzi, tutaingia kwenye maana ya Uislaam kwa kina chake, hapa tukosoane kurejea kwenye mada na si kutoka nje ya mada. Nyerere hakutenda ya Kiislaam kabisa. Full Stop.
 
Hayo yote unasema wewe, mimi nakuambia tena Nyerere hajafanya ya Kiislaam na huko usiende utakosea, sitaki kuharibu mada ya watu ukitaka tulijadili hili lifungulie nyuzi, tutaingia kwenye maana ya Uislaam kwa kina chake, hapa tukosoane kurejea kwenye mada na si kutoka nje ya mada. Nyerere hakutenda ya Kiislaam kabisa. Full Stop.
Hayo yangekuwa mawazo yako wewe ktk hoja yangu na sii kunieleza mimi kuhusu Uislaam wakati wewe huujui isipokuwa kwa kuvaa hijab. Katika maswala ya dini naweza kuzungumza na watu wenye elimu ya dini na sio mshabiki alovaa hijab wakati hana aibu hata kidogo, sitaki malumbano na wewe kwa sababu huna aibu...full stop..
 
Hayo yangekuwa mawazo yako wewe ktk hoja yangu na sii kunieleza mimi kuhusu Uislaam wakati wewe huujui isipokuwa kwa kuvaa hijab. Katika maswala ya dini naweza kuzungumza na watu wenye elimu ya dini na sio mshabiki alovaa hijab wakati hana aibu hata kidogo, sitaki malumbano na wewe kwa sababu huna aibu...full stop..

Nyerere hakufanya ya Kiislaam, Nadhani darsa imekuingia.

Hayo yote uyasemayo kuhusu mimi ni yako yanatoka kinywani mwako na siwezi kukufunga mdomo. Lakini ukileta ya Uislaam hapo tutakesha.
 
Hayo yangekuwa mawazo yako wewe ktk hoja yangu na sii kunieleza mimi kuhusu Uislaam wakati wewe huujui isipokuwa kwa kuvaa hijab. Katika maswala ya dini naweza kuzungumza na watu wenye elimu ya dini na sio mshabiki alovaa hijab wakati hana aibu hata kidogo, sitaki malumbano na wewe kwa sababu huna aibu...full stop..

Nilipo underline hakuna uhusiano na mada unajaribu ku-attack bibie kwakuwa umeshindwa hoja period..
 
Nyerere hakufanya ya Kiislaam, Nadhani darsa imekuingia.

Hayo yote uyasemayo kuhusu mimi ni yako yanatoka kinywani mwako na siwezi kukufunga mdomo. Lakini ukileta ya Uislaam hapo tutakesha.

Anatafuta sifa asifiwe na mwanakijiji watetezi wa dhulma hana jipya period..
 

MM,

Nakupa mji chukua New York kama hujafika nenda Guy Madison Garden tena iwe Jumamosi maana ndiyo kuna mambo hapo.
Umepatia.

Mwanakijiji kiboko bwana usifanye maskhara mie nikimsikia kwa vijana wangu wananieleza khabari zake.
Kataka kuniongeza mvi...huyu mtu.

Mohamed

Sheikh Mohamed,

Ahsante kwa complimentary. Heavy weight champions mmekutana baada ya kusomana kwa muda mrefu, na bahati iliyoje kila mmoja kamkubali mwenzie. Nadhani tutaendelea kushuhudia mipambano mingine, kama ya manila na kinshasa.
 
Aisee, kumbe mwanakijiji anakunyima usingizi kiasi hicho?


Usingizi haninyimi ila najua ni bingwa wa kutumikia na kutetea udhalimu kutokana na makala zake magazetini..(kwa majina bandia)

Ukweli utabakia tu kwamba nyerere hateteki kwenye dhulma aliyoifanyia nchi na waislam

Nyerere- Hero for the church curse to our nation period
 
Back
Top Bottom