Mkuu,
Mohamed analisaidia taifa tena kwa mambo mengi
1. Analisaidia taifa kuangalia historia sahihi na ikiwezekana kuandikwa upya kwa faida ya vizazi vijavyo bila choyo na udini (ukristo)
2. Analisaidia taifa kuangalia utaratibu rasmi wa ubaguzi unaofanywa na maofisa wa serikali kuwapendelea wakristo
3. Analisaidia taifa kuangalia "church" influence kwenye goverment management mfano walipokataa nchi isijiunge na OIC ikawa, kusiwe na mahakama ya kadhi ikawa, ..why so much church influence kwenye mambo ambayo hata hayana affect kama wakristo "mahakama ya waislam maaskofu wasikilizwe it doesn't make sense.."Mfumo kristo" at work. contrary waislamu walitakiwa wasikilizwe zaidi
4. Analisaidi taifa kuangalia huu mgao wa fedha za umma kundeleza kanisa through (MoU) ni ubaguzi na uvunjwaji wa katiba ya nchi ...
Kuna watu wanafikiri haya mambo yatabaki vivyo hivyo bila uprising .. i don't think so..
VITA, VITA, VITA.... Imetangazwa vita baina ya waislamu na wakristu hapa Tanzania???? Bila shaka, somebody is trying to plant a bad seed among us. It is better to stop him before it is too late.........
Kuna watu wanafikiri haya mambo yatabaki vivyo hivyo bila uprising .. i don't think so..
Kwa hiyo hapa unatuambia kuwa uprising ni one of your options?
If that is the case then bring it on!Uprising is the options for oppressed (i.e. natural)
reliable source please...
If that is the case then bring it on!
Kuna watu wanafikiri haya mambo yatabaki vivyo hivyo bila uprising .. i don't think so..
Kwa hiyo hapa unatuambia kuwa uprising ni one of your options?
Utakubalije historia iliyoandikwa upande upande? Ni kama vile umepanda gari lenye magurudumu mawili tu. Na hizo dhana za dhuluma ni dhana tu. Mmepewa mifano hapa katika shule nne tulizojengewa na Castro, waislamu wa mwambao hawakuzichangamkia, sasa mnabaki kulalamika tu dhuluma dhuluma. Sasa Nyerere mnataka afufuke ili mmhukumu? Mbona unachekesha hapo. The only way mnaweza kumhukumu Nyerere ni kuhakikisha tuna viongozi ambao watafanya better than he did. Hilo la kufutiwa misaada ya hospitali ya kanisa kazungumzeni na Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kufanya hivyo.Kwanza kabisa inatakiwa Watanzania muikubali hii historia bila kujali itikadi za dini wala siasa. Mkubali kuwa hawa wazee kudhulumiwa kwa kusahauliwa hata kutajwa ni dhulma kubwa juu yao. Mkubali kuwa Masheikh wa Kiislaam kutiwa ndani au kufukuzwa nchini (karibu wote) waliokuwa kwenye harakati za kudai madaraka na usawa kuwa ni dhulma wamefanyiwa.
Kitu cha kwanza, warudishiwe hadhi yao, watambulike kitaifa waombwe na msamaha.
Kitu cha pili tunataka tujuwe uwenye "heri" na utakatifu wa Nyerere kwa jema lipi? Na kwa gharama ya nani?
Halafu tunataka kanisa lifutiwe kabisa fedha wanazopewa kila mwaka na zilengwe kwenye mashule na mazahanati ya Serikali, kwanini zipelekwe kanisani? Kwani hizo kodi ni za Wakristo tu? Suala sio na nyinyi ombeni. Sual ni kwanini ziende makanisani? Wao walipojenga mashule na mahospitali walikuwa wanajuwa au wanategemea kuwa watashindwa kuyaendesha na watayaendesha kwa fedha za Serikali? Kam ndio kwa idhini ya nai? Huu ni ubaguzi wa hali ya juu. Na Waislaam hatukubaliani nao. Hizo fedha tuone zinakwenda mashule na hospitali za Serikali.
Tumechoka kudhulumiwa kwa miaka 50 sasa toka tupate madaraka, ya kabla ya madaraka ndio yapelekea wazee wetu kuwa mstari wa mbele kudai madaraka na Historia inathibitisha hilo. Sasa miaka 50 baada ya madaraka tunataka haki sawa. Si lazima sisi tukatibiwe kwenye mahospital ya Kikristo ambayo kila kitanda tunawekewa masanamu au misalaba ambayo sisi hatuiamini. Leo tukiwa na mgonjwa tutaruhusiwa tulitoe lile sanamu au msalba na tuweke Aya zetu za Qur'an? Sidhani kama itakubalika au itakuwa busara. Tunataka fedha zetu ziende zikaboreshe mashule ya Serikali ambayo hayatafundisha watoto zetu nyimbo za kanisani.
Tunataka, Nyerere ahukumiwe kwa kulitumikia kanisa badala ya nchi. Kaachia madaraka nchi hohehahe lakini kanisa limenawiri.
Utakubalije historia iliyoandikwa upande upande? Ni kama vile umepanda gari lenye magurudumu mawili tu. Na hizo dhana za dhuluma ni dhana tu. Mmepewa mifano hapa katika shule nne tulizojengewa na Castro, waislamu wa mwambao hawakuzichangamkia, sasa mnabaki kulalamika tu dhuluma dhuluma. Sasa Nyerere mnataka afufuke ili mmhukumu? Mbona unachekesha hapo. The only way mnaweza kumhukumu Nyerere ni kuhakikisha tuna viongozi ambao watafanya better than he did. Hilo la kufutiwa misaada ya hospitali ya kanisa kazungumzeni na Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kufanya hivyo.
Utakubalije historia iliyoandikwa upande upande? Ni kama vile umepanda gari lenye magurudumu mawili tu. Na hizo dhana za dhuluma ni dhana tu. Mmepewa mifano hapa katika shule nne tulizojengewa na Castro, waislamu wa mwambao hawakuzichangamkia, sasa mnabaki kulalamika tu dhuluma dhuluma. Sasa Nyerere mnataka afufuke ili mmhukumu? Mbona unachekesha hapo. The only way mnaweza kumhukumu Nyerere ni kuhakikisha tuna viongozi ambao watafanya better than he did. Hilo la kufutiwa misaada ya hospitali ya kanisa kazungumzeni na Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kufanya hivyo.
Hapana. Sijasema hivyo. Tunachosema ni kwamba historia kama anavyoiandika Mohamed Said ni historia ya ajenda. Mohamed hakuandika historia hii kwa ajili tu ya kumbukumbu ya wazee wake kama anavyosema, lakini pia ameiandika kwa ajili ya kuwaamsha Waislamu ambao anasema wamedhulumiwa na kuonewa licha ya kwamba walishiriki katika harakati za uhuru. Haya, Mohamed kishaandika upande wake, sasa mbona hamjaridhika? Vitabu vyake vinasomwa kama njugu, kama anavyosema mwenyewe, anaitwa kutoa mihadhara/minakasha ulimwenguni kote hata katika nchi zisizo za Kiislamu na bado mnaona kuna tatizo. Hapo ndipo tunapotufautiana. Lakini twende sote taratibu, tutafika tu.Jasusi nikuulize,
Historia lazima muikubali nyie ndio iwe historia???? Kwani msikubali tu kuwa mmekosea na hivyo historia iandikwe kwa pande zote hata kama nyie hamuikubali??
Hapana. Sijasema hivyo. Tunachosema ni kwamba historia kama anavyoiandika Mohamed Said ni historia ya ajenda. Mohamed hakuandika historia hii kwa ajili tu ya kumbukumbu ya wazee wake kama anavyosema, lakini pia ameiandika kwa ajili ya kuwaamsha Waislamu ambao anasema wamedhulumiwa na kuonewa licha ya kwamba walishiriki katika harakati za uhuru. Haya, Mohamed kishaandika upande wake, sasa mbona hamjaridhika? Vitabu vyake vinasomwa kama njugu, kama anavyosema mwenyewe, anaitwa kutoa mihadhara/minakasha ulimwenguni kote hata katika nchi zisizo za Kiislamu na bado mnaona kuna tatizo. Hapo ndipo tunapotufautiana. Lakini twende sote taratibu, tutafika tu.
If that is the case then bring it on!
Mwita na Mkandara, ahsanteni sana kwa busara zenu!Mohamed Said;2697795] Catholics form Most areas which are underdeveloped in Tanzania mainland are areas with Muslim majority like Kigoma,Tabora, Kilwa, Mtwara, Lindi etc. These areas are now re-examining themselvesand are gradually turning into local factions of radical Muslim politicsreminiscence of the era of nationalist politics of the 1950s. This could be asource of civil unrest in the very near futureMohamed Said;2717867]Mwanakijiji, serikali haijakubali kuwa tuna tatizo. Hadi watakapokiri na kutaka ushauri kipi kifanyike hapo ndipo tutazungumza . Kwa sasa tujikite katika kuisihi serikali iamke tuiepushe nchi yetu na vuruguMohamed Said;2725399]MM,Wako wanaokimbia humu ukumbini lakini mimi sijapata na Insha Allah Mungu asinijalie kukimbia vita,Hilo ni moja katika makosa makubwa sana katika Uislam[]Mohamed Said;2697795Ndugu zangu haya yote yaliyo humu ukumbini kuhusu dhulma dhidi ya Waislamu siku moja yatakuwa ndiyo ushahidi wetu ama tuko African Union (AU) au United Nations (UN)endapo kama baadhi ya watu wanavypenda kusema, tutakuwa "ignored" maana yake sisi hatuwezi kukubali hali hii iendelee daima. Serikali zote duniani zinajua hatari yake.Subirini zitakuja nchi hii kamisheni kuja kuchunguza ukweli. Siku hizi hawasubiri mpaka vita ianze kama Rwanda ndiyo waje. Kuwa leo tunamkabili dhalim waziwazi kwetu ni ushindi mkubwa sana.MohamedMwita Maranya;2730674]sheikh mohamed pamoja nanyi wafuasi wake mmekuwa mkitoa vitisho kama mnavyojaribu kuwabrand wengineKama ni sifa, hizo ulizotaja aidha ni nzuri ama ni mbaya, hata ninyi mnazo kwahiyo hakuna hoja hapoMkandara;2730774]Mdondoaji, unajua hata wao wanaweza kusema vivyo hivyo. Tatizo ni kwamba mnashindwa kujitazama nyie wenyewe kuwa you are incompetent na mabandiko mengi yaliyomo humu ni vitisho vitupu toka pande zote. Mnazungumzia vita inakuja, sijui waislaam wameona mwanga sasa hawatakubali tena kuonewa wakati chombo kilichosimamisha bendera ni serikali na nyie wenyewe ndio wanachama wa chama tawala
Chanzo cha nukuu zangu ilikuwa kujibu hoja ya Mohamed kuhamasisha vita na kukana hajasema hilo neno. Nimeonyesha kuwa amesema na kwenda mbali kuonyesha nia aliyo nayo. Hivi mtu anaposema Subirini zitakuja kamisheni kuchunguza, anaposema utakuwa ushahidi UN au AU watakapokuja,anaposema 'mpaka vita ianze' na anaposema waislam ni kosa kukimbia vita akinasibisha na neno na ukatoliki na serikali ana maana gani.
Narudia Mohamed ametoa kauli za vitisho akizihusisha na vita. Nimewekea ushahidi hapo juu. Kutangaza vita na kuhamasisha vita ni vitu viwili tofauti na mimi nasema anachagiza vita. Anayekana hayo si maneno ya Mohamed aseme ili nipakue mzigo uliobaki!
Nimefunga mjadala wa hili kwasababu lipo wazi na wenye akili zao wanaliona kwa uwazi.
Turudi katika uchambuzi wa makala zake kwa mitazamo mbali mbali yenye tija kwa taifa na wasomaji
Shukran sana kwa mjadala wenye maana na ndio sababu napenda sana kujadiliana na wewe kwa sababu unatafuta suluhu ya tatizo unaloliona na sii kutafuta mchawi kumtangaza hali anaendelea na uchawi...Mkandara,
Heshima mbele mkuu mie nawaelewa ndugu zetu ila vile vile naelewa elimu ya majadiliano. Technic inayotumika na baadhi yetu kutafuta mapungufu ina walakini kwasababu haujengi mjadala badala yake unauharibu. Mie nishamueleza mfano Mwanakijiji kuwa ukiwa ndani ya box kujua yaliyo nje ya box ni vigumu na tabu. Why asivae viatu vya waislamu akatembea navyo akajua nini kinaendelea. Mie nilikosa nafasi ya kuendelea kusoma serikalini kwasababu ya jina langu. Faiza foxy pia alikosa nafasi ya kusoma serikalini kwakuwa jina lilikuwa tatizo. Wazee wangu wengine walilazimika kubadilisha majina ili wasome. Wengine walisoma hadi mafundisho kanisani ili mradi wapate elimu. Hivyo suala la mistreatment against muslims lipo na Mwanakijiji hawezi kulipinga. Hata hivyo mapungufu ya waislamu nayo yapo na yamechangiwa zaidi na grievance ambayo waislamu wanayo dhidi ya Bakwata. Mfano shule ya Kinondoni imekuwa ikifelisha na wanafunzi hawafanyi vizuri kwasababu hakuna mwislamu anataka kujiweka upande wa Bakwata. Bakwata imebakia baraza la maulidi, mwandamo wa mwezi na matamko tu. Shule ya Ubungo Islamic, Mzizima, Feza, Al-Muntazir zimekuwa zinafanya vizuri sana katika matokeo ya wanafunzi wake kwakuwa zimekuwa zikisimamiwa na waislamu wenyewe bila ya mikono ya Bakwata. Hivyo utaona kuna tatizo katika vitu vinavyosimamiwa na Bakwata na sio taasisi zengine.
Kauli za vitisho hakuna mtu ametoa kauli za vitisho. Watu wamechukua maneno yao na kuyafanya maneno ya Mohamed Said. Mohamed hakusema kunakuja vita bali amesema hali hii ikiendelea inaweza kusababisha vurugu kwa mujibu wa maono yake na utafiti alioufanya. Je amesema kitisho gani hapo zaidi ya kusema ukweli. Kumbukeni ndugu zanguni kuwa an unjust society is a society of lawlessness. Wananchi wakiona sheria ziko kuwafavor watu wa aina fulani resistance huchipukia hapo hapo. Je kuendelea huku kwa waislamu kufanywa second class citizen hauoni kunapelekea kuwepo kwa fukuto la moyo miongoni mwa waislamu?
Halafu kuna mambo yanachangia pia kuleta kupotea kwa hali ya uaminifu. Mfano MoU ya Kanisa na Serikali. Serikali inawalipa Kanisa Bilioni 91 kila mwaka kutoka katika kodi za waislamu na wakristo. Je waislamu wanagaiwa ngapi? Kuna mtu anaweza kutuambia MoU ya Serikali na Aga Khan serikali ilikuwa INATOA KIASI KWA TAASISI ZA AGA KHAN KILA MWAKA???? Huu ni ufisadi na unapelekea waislamu nao waulize mustakabali wa kodi zao vp?????
Jasusi nani mdini?
Aliyeshika madaraka 83% au huyu wa 17%.
Mbona unawajibia waliotuhumiwa si tumeeleza dhulma zote hadharani mbona hawathubutu kufungua mdomo kukanusha?
Kama Waislam ndiyo wadini wanamdhulumu nani na kwa njia zipi?
Au kusema kuwa Waislam wanadhulumiwa ndiyo udini wenyewe?
Tafadhali usilijibie Kanisa litie hima wajibu tuhuma za Waislam.
Huo ndiyo uungwana.
Mohamed
CCM inahusu nini hapa? angalia wengine hawa, hata pakutokea hawapajui. Usitupeleke huko. Unanchekesha.