mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,343
Huyu Askari anafahamika kama Majura yupo Kota za FFU Mombasa karibia na shule ya msingi.
Nae alikuepo kwenye kikosi kinachovamia bar na bunduki kutafuta mabinti wanaojiuza.
Huyu Askari huwa yuko chakari (kalewa) muda mwingi wa kazi na hata boss wake wa Mabatini anajua na hajawahi kumchukulia hatua yoyote
Nae alikuepo kwenye kikosi kinachovamia bar na bunduki kutafuta mabinti wanaojiuza.
Huyu Askari huwa yuko chakari (kalewa) muda mwingi wa kazi na hata boss wake wa Mabatini anajua na hajawahi kumchukulia hatua yoyote