Majina yenye mvuto!

Majina yenye mvuto!

nampenda sana hyu jamaa, kwa msisitizo anaitwa Tundu Antipas Mughwai Lissu!
NOTE: sio kwamba nampenda kimapenz tafadhali nisieleweke vibaya!
charminglady ana identical twins boys, wazurije sasa?? ni jirani na parents wangu kabisa.
 
:glasses-nerdy::glasses-nerdy:Justification ikizidi?:glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Bora na wewe umeiona!
Mi nikidhani nimeiona mie tu! Justification ndefu kuliko comments! Namna hivi kama Interpol wanafatilia issues wakikufumania kiivi , wana wewe!
Na utaisidia Police!
 
Bora na wewe umeiona!
Mi nikidhani nimeiona mie tu! Justification ndefu kuliko comments! Namna hivi kama Interpol wanafatilia issues wakikufumania kiivi , wana wewe!
Na utaisidia Police!

hahaa, Judgement bwana ina mana hujaelewa ama wajidai kutonielewa?
 
Last edited by a moderator:
Hifikipunye Pohamba

moja ya Marais Barani Afrika wasio na Skendo! Aliwahi kuishi Tz maeneo ya Magomen Mapipa kama Raia wa kawaida. Akaja kuwa Rais wa Nchi ya Namibia since 2004-mpaka sasa!
 
hahaa, Judgement bwana ina mana hujaelewa ama wajidai kutonielewa?

Charm bwanaa! Mbona alieanza kukuchokoza ni Kongosho ?
Mi nikajazia tu kiduchu alipoishia Pancrease!
Konnie umemuacha anapeta! Ukanifata mie mnyonge!
Jamani sie wenye vifua vidogo tutanua kweli ? Bt pamoja na vichest vyetu vidogo, tukiingia mtamboni hua hapatoshi ! Tukipanda,
wakati match ya futboli inaanza!
Tukishuka,
halftime dkk 45 zimeondoka!
Kama unabisha muulize nanihii ....
 
Last edited by a moderator:
1. Gamaliel Mgongo-Fimbo 2. Nicholas Nicholas Ngondo Nditi 3. Rwekaza Sympho Mukandara 4. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi
 
Charm bwanaa! Mbona alieanza kukuchokoza ni Kongosho ?
Mi nikajazia tu kiduchu alipoishia Pancrease!
Konnie umemuacha anapeta! Ukanifata mie mnyonge!
Jamani sie wenye vifua vidogo tutanua kweli ? Bt pamoja na vichest vyetu vidogo, tukiingia mtamboni hua hapatoshi ! Tukipanda,
wakati match ya futboli inaanza!
Tukishuka,
halftime dkk 45 zimeondoka!
Kama unabisha muulize nanihii ....

haya bana!
 
kamuzu banda

bingu wa mutharika

bhoke mnanka

chacha wangwe
 
Leo nlikuwa kaika duka noja la M pesa mjini Dodoma. akaja mwanamama mmoja kutoa pesa. Kichekesho ni jina lake, Chausiku Chapuchapu. Hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom