haha hivi hayo huwa mnayatumia huko ?. sisi tuliosoma day tukaishia kidato cha tatu tulikuwa tunayaona tuusisahau tranker! ulifunge na kufuri !
Wana jf Nina mkanganyiko kuhusu tarehe ya kuriport chuoni. Kulingana na chuo nilichopangiwa(sua) Ni tar 29 na pia nasikia baadhi ya taarifa za nje zinasema vyuo vyote Ni 27, ipi ni tarehe sahihi??
.Wana jf Nina mkanganyiko kuhusu tarehe ya kuriport chuoni. Kulingana na chuo nilichopangiwa(sua) Ni tar 29 na pia nasikia baadhi ya taarifa za nje zinasema vyuo vyote Ni 27, ipi ni tarehe sahihi??
First year banah, mbona chuo kitu cha kawaida sana...tatizo mna mawenge sanaWana jf Nina mkanganyiko kuhusu tarehe ya kuriport chuoni. Kulingana na chuo nilichopangiwa(sua) Ni tar 29 na pia nasikia baadhi ya taarifa za nje zinasema vyuo vyote Ni 27, ipi ni tarehe sahihi??
lazima wawe na wenge wamehaso Sana na jkt wengine wamechoka kitaa hapaelewek, acha waende wakale boommmFirst year banah, mbona chuo kitu cha kawaida sana...tatizo mna mawenge sana
Ni kweli lakini wakaribie sana, na wale pia wanaosema chuo bata wakaribie sana wale hao batalazima wawe na wenge wamehaso Sana na jkt wengine wamechoka kitaa hapaelewek, acha waende wakale boommm
Acha bas ukwel ataenda nalo mwenzet acje chekwa bureHivi mnajua maana ya kuripoti??
Je unajua maana reporting day na deadline??
Elimu za maweni.
Yaani toka Jumatatu hadi Ijumaa sana sana unapata saa moja ya kutafuta msosi kati ya 0745 hrs na 1705 hrs na free vipindi 3 pamoja na saa moja ya msikitini Ijumaa. Hiyo ndio BVM na hiyo tarehe 5/11/2018 amini usi amini saa 1 na dikika 45 shule ina anza. Mliochaguliwa hongereni, muwe tayari kuchapa kazi, kama wengine walimaliza nanyi mtaweza lakini kujituma kwa ziada ni lazima.Timetable hii hapa kwa 1st year