Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Atakaechelewa kuna uwanja wa kufyeka
First year bana unakuwa mshamba flan hiv wenge kma lote
Njoon tule bata maana aliyewaambia kuna bata huku cjui nan mje muwachukuee
 
Hiii course ugonge msuli wa maana maana kuna lecture wetu wa anatomy kwenye chuo cha mifugo huku ndio kapiga hiii jamaa anatomy cjui kameza yote hana notes wala kitabu akija tu akianza kuelezea kichwa na mnyama unaweza ukaona mawenge mwanafunzi kumbe ndio kapiga BVM siyo poa
 
Kama kichwa kinavyojieleza nilipata GPA ya 2.8 katika masomo yangu ya diploma ya Laboratorty Technology. Je, naweza kupata chuo na sasa hivi niko kazini?
 
Kwa mujibu wa guide book Ya TCU kama sijasahau wanaanzia GPA YA 3.O AU KWA UDSM WANAANZIA 3.5
 
GPA ndogo hiyo mkuu, sijafuatilia haya mambo ya usaili ila naskia ni kuanzia 3.0 ndio wana nafasi
 
Ipo ivi chuo huwezi pata,mana tcu wameelekeza wanafunzi wanaotokea DIPLOMA wawe na GPA ya 3.0 na kuendelea ivyo chini ya hapo no chuo.and asije akakushauri mtu kwenda nje pia utapoteza muda mana ili iyo degree yako itambulike itakupasa kwenda tcu na wakikuta ukisoma kinyume na muongozo wao itakua imekula kwako mkuu.all in all OMBA MUNGU ndalichako ashushe GPA alinawe uende chuo.
 
Kwa GPA hio na kozi za Science ni heri utafute shughuli ingine ya kufanya mkuu! Hapo hamna ishu,
 
Wana jf Nina mkanganyiko kuhusu tarehe ya kuriport chuoni. Kulingana na chuo nilichopangiwa(sua) Ni tar 29 na pia nasikia baadhi ya taarifa za nje zinasema vyuo vyote Ni 27, ipi ni tarehe sahihi??
Tarehe ya chuo sio agano na mungu kwamba ni lazima ulifanye katika siku husika unaweza kwenda hata after more than three weeks kama michango yao haujaipata bado
 
Kama kichwa kinavyojieleza nilipata GPA ya 2.8 katika masomo yangu ya diploma ya Laboratorty Technology. Je, naweza kupata chuo na sasa hivi niko kazini?
Hebu weka sawa maana Laboratory tech zipo nyingi tu wewe umesomea ipi au Medical Lab Tech???
 
Habari wasomi na wanazuoni hapa ndani

Bwana mdogo amechaguliwa Bsc in Nursing Collage of health pale Udom,ila dream zake ni kusoma Medical Doctor

SWALI

Anaweza kuomba nafasi za md za muhimbili compass ya mbeya bila kupata matatizo ya mkopo sababu mkopo wake upo udom
 
Back
Top Bottom