Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Habari wasomi na wanazuoni hapa ndani

Bwana mdogo amechaguliwa Bsc in Nursing Collage of health pale Udom,ila dream zake ni kusoma Medical Doctor

SWALI

Anaweza kuomba nafasi za md za muhimbili compass ya mbeya bila kupata matatizo ya mkopo sababu mkopo wake upo udom
Shifting inawezekana ila mkopo sina uwelewa wa kutosha
 
Naomba ushauli wanajamii.
Wapi niende kusoma
Nimechaguliwa kusoma ifm coz ya IT
Pia nimechaguliwa coz ya Environment Planing and Managements chuo cha MIPANGO DODOMA.
 
Habari wasomi na wanazuoni hapa ndani

Bwana mdogo amechaguliwa Bsc in Nursing Collage of health pale Udom,ila dream zake ni kusoma Medical Doctor

SWALI

Anaweza kuomba nafasi za md za muhimbili compass ya mbeya bila kupata matatizo ya mkopo sababu mkopo wake upo udom
Kama anavigezo anaweza Hama vizur sana, na mkopo ata uhamisha pia. Lakin issue za kuhamisha mkopo zinachukuwa muda almost semester nzima
 
Habari Jf.Baada ya mambo kuwa magumu katika suala zima la udahili wa vyuo nime fanikiwa kupata kozi ya IT chuo cha NIT,ila sijawahi kuwa na ndoto ya kusomea aya mambo ya technology,nili penda kusoma wildlife kutokana na tahasusi yangu ya CBG niliyo soma adavance.Naombeni ushauri wenu bora ni some ii IT nije kuongeza idadi ya wahitimu kitaa au ni change kwemda kozi ya logistic&transport management.
 
Habari Jf.Baada ya mambo kuwa magumu katika suala zima la udahili wa vyuo nime fanikiwa kupata kozi ya IT chuo cha NIT,ila sijawahi kuwa na ndoto ya kusomea aya mambo ya technology,nili penda kusoma wildlife kutokana na tahasusi yangu ya CBG niliyo soma adavance.Naombeni ushauri wenu bora ni some ii IT nije kuongeza idadi ya wahitimu kitaa au ni change kwemda kozi ya logistic&transport management.
Ukisoma.hio inaweza kuweka ktk sehemu nzur
 
Habari Jf.Baada ya mambo kuwa magumu katika suala zima la udahili wa vyuo nime fanikiwa kupata kozi ya IT chuo cha NIT,ila sijawahi kuwa na ndoto ya kusomea aya mambo ya technology,nili penda kusoma wildlife kutokana na tahasusi yangu ya CBG niliyo soma adavance.Naombeni ushauri wenu bora ni some ii IT nije kuongeza idadi ya wahitimu kitaa au ni change kwemda kozi ya logistic&transport management.
Soma unachopenda mkuu lasivyo utakua unafanya kazi usioipenda na mafanikio yakawa hafifu.. Unaweza shift course hapo hapo NIT na wakakubali
 
Hahahaha!! Hacker Hacker Hacker unazani unakua tu ndugu yangu, Bongo kwenyewe hackers ni 3% ila wengi wao ni watu wa tools tu za kutengenezewa na wenzetu mahacker wenyewe. Ok jiandae vizuri masomo sio magumu sana ila yanahitaji akili muda mwingi sana. Computer ni tamu ila uwe na moyo la sivyo utagraduate kichwan ni Microsoft Office tu. Karibu
 
Back
Top Bottom