Habari za wakati huu ndugu zangu,
Huku nilipo sasa imekua shida, kuna vijana hawa(kama watano ama sita hivi), wengi wa fani ya udakitari na famasi hawaishi kwenye korido, walikua admitted kwenye kozi mbalimbali za afya huku, nafikiri hazitolewi bongo,
Wako huku toka August na September, wanasema wameshatumia budget zao walizokuja nazo zimeisha, sasa wanateseka maana unajikuta umegeuka ndugu wa mtu, (breakfast na lunch) inabidi uwashtue waje ofisini kula, dinner sijui wanafanyaje, lakini kusema ukweli wengi wanapumulia mashine, japo wengi naona ni watumishi wa umma, lakin kama mjuavyo pesa ya bongo huku ni kiduchu sana
Kama ikiwapendeza wizara ya Afya, toeni majina ya ufadhili ili hawa ambao hawatafanikiwa kupata bas wajue wanafanyaje (japo mngewapa kipaumbele tu), kama wanarudi bongo ama la, kuliko wakae huku wakisubiri majina yatoke na bado hawawezi kumudu gharama za maisha, japo nilikua nawaza what if mtu akakosa na ameshakaaa huku almost four months, amelipia na registration fee, kaanza na masomo n.k, hebu pitieni kanzidata vizuri muone walioomba hivi vyuo vya nje na kozi zao ambazo nimeona nyingi zina soko muwape pia kipaumbele,
Lakini pia ushauri, kama waliyoyasema ni kweli bhas nina ombi kwenu,
Semester za vyuo vikuu duniani zinatofautiana lakin main nyingi zinaanza August,September na kuendelea, mnaonaje kama haya majina ya ufadhili mngekua mnatoa labda tuseme October mwanzoni kuliko sasa mnavyotoa November katikati au mwishoni, itakuaje kama kozi aliyochaguliwa mtu haitakua na intake ya katikati,
Tanzania inahitaji vijana wenye upeo na exposure, tusilale tu nyumbani, dunia inaenda kasi, tukimbizane nayo
kwenu Ummy Mwalimu na Mollel
Huku nilipo sasa imekua shida, kuna vijana hawa(kama watano ama sita hivi), wengi wa fani ya udakitari na famasi hawaishi kwenye korido, walikua admitted kwenye kozi mbalimbali za afya huku, nafikiri hazitolewi bongo,
Wako huku toka August na September, wanasema wameshatumia budget zao walizokuja nazo zimeisha, sasa wanateseka maana unajikuta umegeuka ndugu wa mtu, (breakfast na lunch) inabidi uwashtue waje ofisini kula, dinner sijui wanafanyaje, lakini kusema ukweli wengi wanapumulia mashine, japo wengi naona ni watumishi wa umma, lakin kama mjuavyo pesa ya bongo huku ni kiduchu sana
Kama ikiwapendeza wizara ya Afya, toeni majina ya ufadhili ili hawa ambao hawatafanikiwa kupata bas wajue wanafanyaje (japo mngewapa kipaumbele tu), kama wanarudi bongo ama la, kuliko wakae huku wakisubiri majina yatoke na bado hawawezi kumudu gharama za maisha, japo nilikua nawaza what if mtu akakosa na ameshakaaa huku almost four months, amelipia na registration fee, kaanza na masomo n.k, hebu pitieni kanzidata vizuri muone walioomba hivi vyuo vya nje na kozi zao ambazo nimeona nyingi zina soko muwape pia kipaumbele,
Lakini pia ushauri, kama waliyoyasema ni kweli bhas nina ombi kwenu,
Semester za vyuo vikuu duniani zinatofautiana lakin main nyingi zinaanza August,September na kuendelea, mnaonaje kama haya majina ya ufadhili mngekua mnatoa labda tuseme October mwanzoni kuliko sasa mnavyotoa November katikati au mwishoni, itakuaje kama kozi aliyochaguliwa mtu haitakua na intake ya katikati,
Tanzania inahitaji vijana wenye upeo na exposure, tusilale tu nyumbani, dunia inaenda kasi, tukimbizane nayo
kwenu Ummy Mwalimu na Mollel