Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Kwa lugha rahisi mfumo umeku chagulia your destiny pole sana!!

Ila jiulize kwa nn kwenye top 10 list ya matajiri duniani hakuna mtu wa wildlife au logistic?

Asante mkuu.creativity ndo ina wafanya kuwa katika hio list
 
Hello everybody!!



Nlikua nataka kujua hii course inayopatikana SUA ya Bac Human Nutrition inadeal na nn??

Na Je ipo marketable???
 
Kwani ni nini ambacho hukijui
a) Bsc
b) Human
C) Nutrition

Maana mnaulizaga maswali mengine yapo uchi kabisa
 
Ha ha ha haa kwan ucompare MD na BVM as if MD ni SI unit ,,,ukiona kitu unastruggle saaaana ujue haukufit kuwa pale ,,,,struggle inayotakiwa ni kuzngatia mda na ratiba tuu
Msuli wake naskia ni balaa MD chamtoto.
But hamna namna mwanaume kupambana hadi kieleweke
 
M ni 1st year ifm nmeingia leo kwny account yangu ya chuo nmekuta hvy maana yake nn
Screenshot_2018-10-29-23-34-42.jpg
 
Ukienda bank kulipa fee ya chuo utaambatanisha hiyo control namba chini ya jina lako. Bank zilizo karibu na ifm wanajua kila kitu so ukifika tu pale bank ukiwaambia nimekuja kulipa ada ya chuo ifm watakuelekeza kila kitu
 
Hello everybody!!



Nlikua nataka kujua hii course inayopatikana SUA ya Bac Human Nutrition inadeal na nn??

Na Je ipo marketable???

Hiyo ina deal na Lishe ya Binaadamu, enzi zetu walikuwa wakimaliza chuo basi walikuwa wanapewa direct post serikalini kama ma afisa Kilimo au Hospitalini kama watu wa Lishe kitengo cha Nutrition na wachache sana walipata ajira pale Tanzania Food and Nutrition Centre, siku hizi na fikiri wakimaliza wanajiajiri kama mama lishe?
 
Back
Top Bottom