Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 953
- 413
Mifumo ovyooMbona wakati wa 3round tarehe 24-26 application form ilkuwa inafunguka na watu tuka apply nashangaa saizi Wanasema hii ndo third round wakati ni fourth rounds
Mifumo ovyooMbona wakati wa 3round tarehe 24-26 application form ilkuwa inafunguka na watu tuka apply nashangaa saizi Wanasema hii ndo third round wakati ni fourth rounds
View attachment 897924SUA wana ratiba zao
nacheka kama mazuri vile hahahhahhahahaMifumo ovyoo
Mifumo ya kiyahudi
nacheka kama mazuri vile hahahhahhahaha
Mkuu umenichekesha basi eti sua wana ratiba zaoView attachment 897924SUA wana ratiba zao
Vipi SAUT mlikaa meza ya usuruhishi mkafikia muafaka??Mim account yangu haina maandishi kwenye status. Hata yale ya succesful received hayapo
Mifumo yetu bado hopeless, ndo maana bora urudi mfumo mmoja tu wa CAS ya TCU ili hata kama kuna shida ni rahisi ku pin point ktk a single system, sasa hivi kila system mbovu tuu
Daaah
Nmewasaidia watu kufanya application IAA na MOCU round 4
Mkuu umenichekesha basi eti sua wana ratiba zao
watu wanasema UDOM tyr mbona hayo majina mie sijayaona na pia kwa profile za watu mbona hakuna majibh.
kweli tutapata tabu sana
Usisingizie system sema amesahau password ya account ya kwanza.
Baba huku ni Bongo sio kubembelezana kama Zenji.
Hiyo course ni ngumu na chuo ni kigumu. Nenda kusoma shule. Usilete mbwembwe maana chuo kipo mjini karibu na ferry. Usije ukaaanza kufanya uvuvi hapo
Soma shule boss