Majina halisi ya WanaJF waliofariki

Majina halisi ya WanaJF waliofariki

Kuna Dada mmoja alikuwa anafanya redcross Kigoma nayepia
 
muongeze....kipenzi cha Islam.....
lakini kwa maoni yangu.....kama marehemu hawakupenda kujulikana uhalisia wao....why leo tuwafichue hadharani....? mi naona bora tuwaombee walale kwa amani....coz hata tukiwajua leo ni too late.....huo ni mtazamo wangu.....
 
muongeze....kipenzi cha Islam.....
lakini kwa maoni yangu.....kama marehemu hawakupenda kujulikana uhalisia wao....why leo tuwafichue hadharani....? mi naona bora tuwaombee walale kwa amani....coz hata tukiwajua leo ni too late.....huo ni mtazamo wangu.....

very true. Boss wangu akijua ndio mie nam'balasa humu, hata shada la ofisi halitakuja wallah.
 
Back
Top Bottom