Lakini mkuu, kwanini zzk ndio adui yenu number 1 badala ya ccm?? Au na ninyi ni mapandikizi tu kuhadaa watz?? Back to the point,cuf wanamkubali kinoma na wako tayari kushirikiana sasa ninyi mna nini nae?? Au mlitaka akalime?
cuf kama wanamkubali Lipumba asingesusia mwaliko wake siku ya uzinduzi wa chama, kwa taarifa yako cuf wanaiona act kama adc, zitto na hamadi lao moja tofauti yao mmoja ni mkigoma mwimgine ni mpemba