haa haa mkuu sijui umekula maharage ya wapi ww? Lini hivyo vyama vimeungana? Kiongozi wake ni nani? Je sheria za vyama vya siasa vinaruhusu vyama kuungana? Hivyo vyama vimeunda umoja wa kushirikiana na si kuungana!Chadema walishawahi kusema Cuf ni waliberali, Slaa alisema Kafulila ni sisimizi, lakini leo wameungana, dah
ukweli unafahamika, nani ni ndumila kuwili kwenye upinzani, hayo ya kutunga unayajua ww. Zitto kwa maneno yake tu si mpinzani bali ni mpenda sifa!Lakini matendo ya Mbowe kuuza jimbo la Musoma vijijin kwa Mkono na kuwauzia Chadema fuso mbovu milioni 600 unayapenda
zitto hatapata watanzania wanaotumia ubongo wao kufikiri kamwe. Atawapata nyie mliopeleka likizo ubongo wenu. Zitto, leo anazungumza hiki, kesho kile! Haaminiki, haeleweki.Piga kazi Zitto muache mzee Mtei ale mshahara wake wa ubaguzi.
wewe kweli mwehu..hizi cheap propaganda na character assassination dhidi ya ZZK mnazitunga na kuziamini wenyewe. si yeye wala usalama wa taifa wenye haja ya kuwajibu.Watanzania hatuna chuki binafsi na Zito bali tuna chuki kubwa kwa yale aliyotufanyia. Mengi yamesemwa juu yake lakini hajawahi kuyajibu kwa vielelezo. Hajawahi kueleza kwa ukamilifu hela aliyokuwa akiipokea toka CCM (kwa kupitia maofisa wa TISS) ilikuwa ya nini? Hajawaeleza Watanzania ukaribu wake mkubwa na mawasiliano yake na maofisa wa juu wa TISS yamekuwa yanahusu nini hasa. Mawasiliano na maofisa wa TISS yalioneshwa kwa vilelezo, na hasa yalikuwa wakati wa kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi.
Leo anapotaka kushirikiana na UKAWA, Watanzania watakuwa na uhakika gani kuwa nia yake kubwa siyo kutaka kujua mipango na mbinu za UKAWA kwa manufaa ya wale ambao amekuwa akiwatumikia siku zote, CCM?
hongera zenu madaktari wa Milembe dodoma naona wagonjwa wenu wanapata nafuu kama huyu. Endeleeni kumpa dozi anaemprove taratibu.zitto hatapata watanzania wanaotumia ubongo wao kufikiri kamwe. Atawapata nyie mliopeleka likizo ubongo wenu. Zitto, leo anazungumza hiki, kesho kile! Haaminiki, haeleweki.
Khaa!! How??Kwa miamala ya fedha na rekodi za mawasiliano za kusomewa majukwaani?? Walevi wachache sana watakaoweza kumeza hiiimedhihirika pasipo shaka huyu zito ni msaliti.
Mkuu itakuwaje kama NCCR, NLD na CUF watataka kushirikiana na ACT? Tatizo mnaifanya UKAWA kama CDM na CDM kama UKAWA. Hapo ndipo penye shida kubwa...huyu alifukuzwa.
..kwa hiyo siyo ajabu CDM kusema hawataki kushirikiana naye.
..yaani mtu afukuzwe CDM, halafu wamrudishe kwa kupitia UKAWA?
..Zitto akashirikiane na vyama vingine lakini siyo CDM.
..kwani hakuna vyama vingine vya kushirikiano navyo zaidi ya CDM na UKAWA?
..We are tired of dramas.
cc Mkandara, Kapwela, Chademakwanza, Kimbunga, Nguruvi3
Msaliti anawahenyesha chadema.
Mkuu laki si pesa umenikumbusha kuhusu Kafulila. Hivi mkuu Salary Slip kafulila alifukuzwa kwa tuhuma gani, siyo usaliti kweli?Chadema walishawahi kusema Cuf ni waliberali, Slaa alisema Kafulila ni sisimizi, lakini leo wameungana, dah