Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

..nyinyi mnataka kuvuruga watu tu.

..kama Zitto alikuwa hataki kugawanya kura basi angebaki CDM.

..mtu amefukuzwa CDM juzi tu; chama chake ndiyo kwanza kimepata usajili, tayari anataka kuunganisha nguvu na vyama vingine!!

..ACT haina ruzuku, haina wabunge, turufu yenu ktk muungano/ushirikiano ni mtu mmoja tu-- Zitto. I dont think huu ni wakati mzuri kwenu kuanza kuzungumzia masuala ya muungano na mashirikiano na vyama vingine.
Mkuu hizo twitt ni makusudi kabisa kuua hoja ya ukanda. Wameshagundua kuwa hoja ya supreme inawasumbua sana na imeleta mfadhaiko kwa wanachama na watarajiwa. Njia rahisi ni kubadili mjadala ili tusahau aliyosema Zitto kuhusu mikoa ya kaskazini.
 
Mkuu hizo twitt ni makusudi kabisa kuua hoja ya ukanda. Wameshagundua kuwa hoja ya supreme inawasumbua sana na imeleta mfadhaiko kwa wanachama na watarajiwa. Njia rahisi ni kubadili mjadala ili tusahau aliyosema Zitto kuhusu mikoa ya kaskazini.
Mkuu wala mimi siko hukokabisa maana Supreme ni hoja zenu kuiangusha ACT jambo ambalo mimi nawaona kama mnapoteza muda wenu maana kwa Bongo yetu ndio kwanza mnamsafisha zaidi Zitto. Kuwatoeni makosa yenu haina maana kwamba namshabikia Zitto mimi ni kama member of the jury nawasikiliza nyie na kutokuwa convinced.
 
Taarifa zipi mkuu wangu mbona hukuzisema? ya Kwamba CUF wanatazama interest zao kwanza. Ushidi wa Umoja wa Kimataifa umeundwa na vyama vipi? vyma gani vingine vilishirikishwa au umesahau?

Sijakataa popote kuwa matokeo ya Uchagaguzi mkuu ZnZ ndiyo yana determine chama gani kitaunda serikali, hata huku Bara ni hivyo hivyo sheria moja tu, lakini nachokisema CCM mwaka huu hatashidwa ZnZ kwa sababu tayari uhasama wa Upemba na Uunguja umeshaanza kushamiri zaidi kwa hoja za kina Jussa bunge maalum la Katiba. CCM wana mbinu nyingi hamuwezi washinda na UKAWA hii hata kidogo.

..OK.

..wakishindwa that will b a learning experience.

..lakini mimi nadhani they r in the right direction.

..I like their "activity" level wakati tukielekea kwenye uchaguzi mkuu.

cc Nguruvi3, Kapwela, Kimbunga
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wala mimi siko hukokabisa maana Supreme ni hoja zenu kuiangusha ACT jambo ambalo mimi nawaona kama mnapoteza muda wenu maana kwa Bongo yetu ndio kwanza mnamsafisha zaidi Zitto. Kuwatoeni makosa yenu haina maana kwamba namshabikia Zitto mimi ni kama member of the jury nawasikiliza nyie na kutokuwa convinced.

Mkandara,Supreme ni hoja zenu akina nani hao?
 
Last edited by a moderator:
“Mwanzo walipotufukuza walituambia tukatafute vyama vingine hilo likafanyika, tulipopata vyama vya kufanyia siasa wakasema vipo kwa ajili ya kugawa upinzani, tukasema tupo tayari kuunganisha Nguvu ya pamoja kwa ajili kuiondoa CCM wenzetu pia hili hawalitaki sasa ni wajibu wenu kutambua watu gani hawataki kuiondoa CCM.

Wananchi watambue tuna nia ya dhati lakini wenzetu wanaweka ugomvi binafsi mbele ya maslahi ya Taifa. Sisi ACT wazalendo bado tupo taayari kushirikiana kwa mujibu wa misingi. Shabaha yetu ni moja tu kubomoa mfumo wa uchumi wa kinyonyaji na kifisadi ili kujenga uchumi shirikishi wa wananchi”

By Zitto kabwe kupitia Twiter


Vipi tena Ngo'mbe anahitaji Ushirikiano na mkia wake!.

 
..OK.

..wakishindwa that will b a learning experience.

..lakini mimi nadhani they r in the right direction.

..I like their "activity" level wakati tukielekea kwenye uchaguzi mkuu.

cc Nguruvi3, Kapwela, Kimbunga
Sawa ningependa sana unipe yale yalokuvutia hadi sasa kule kwenye mada ya UKAWA NI KIINI MACHO maana sijapata mtu mwenye mawazo tofauti akiyaweka kunishawishi vinginevyo.
 
Watanzania hatuna chuki binafsi na Zito bali tuna chuki kubwa kwa yale aliyotufanyia. Mengi yamesemwa juu yake lakini hajawahi kuyajibu kwa vielelezo. Hajawahi kueleza kwa ukamilifu hela aliyokuwa akiipokea toka CCM (kwa kupitia maofisa wa TISS) ilikuwa ya nini? Hajawaeleza Watanzania ukaribu wake mkubwa na mawasiliano yake na maofisa wa juu wa TISS yamekuwa yanahusu nini hasa. Mawasiliano na maofisa wa TISS yalioneshwa kwa vilelezo, na hasa yalikuwa wakati wa kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi.

Leo anapotaka kushirikiana na UKAWA, Watanzania watakuwa na uhakika gani kuwa nia yake kubwa siyo kutaka kujua mipango na mbinu za UKAWA kwa manufaa ya wale ambao amekuwa akiwatumikia siku zote, CCM?

Watanzania gani unaowasemea wanoweza kuwa na nia ya kisikiliza majibu ya hoja za kipuuzi kama hizo?! Jibu la mpumbavu ni kukaa kimya..... big up ZZK.
 
..mzee mwenzangu hiki ulichoandika siyo taarifa rasmi.

..zaidi, taarifa zenyewe ni wewe peke yako mwenye habari nazo.

..hapa tunazungumzia taarifa rasmi; taarifa ambazo mimi na wewe tuna access nazo na tunaweza kuzifanyia uchambuzi.

NB:

..ninachoelewa mimi ni kwamba SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA YA ZNZ ni suala la kikatiba.

..matokeo ya uchaguzi mkuu wa ZNZ ndiyo yanayo-determine vyama vipi vitaunda serikali hiyo.
JokaKuu
Mkandara ni mmoja kati ya Ma Diaspora wetu wanatutia aibu sana ughaibuni itakuwa.
Yeye everything is all about Speculations
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu
Mkandara ni mmoja kati ya Ma Diaspora wetu wanatutia aibu sana ughaibuni itakuwa.
Yeye everything is all about Speculations
OK nambie nilicho speculate..mimi nasema siku zote na explore reality hata kama Ukiwa hasidi kwetu lakini ndio Ukweli. tatizo nyie hamtaki kuambiwa ukweli unaopingana na fikra zenu. kwa mfano nikisema tanzania kuna Udini mtasema Mkandara mdini badala ya kujiuliza anachosema Mkandara kweli au sio kweli.. Usinitazame mimi tazama ukweli uliopo on ground zero..
 
Nadhani kuna taratibu za kufuata kujiunga kwenye ushirikiano wa aina yeyote na ukawa pia ushauri wangu ni kuwa kama act wanania ya kujiunga na ukawa basi wafuate hizo taratibu vinginevyo tutachoshana hapa pengine act hawahitaji huo ushirika
 
..nyinyi mnataka kuvuruga watu tu.

..kama Zitto alikuwa hatakikugawanya kura basi angebaki CDM.

..mtu amefukuzwa CDM juzi tu; chama chake ndiyo kwanza kimepata usajili, tayari anataka kuunganisha nguvu na vyama vingine!!

..ACT haina ruzuku, haina wabunge, turufu yenu ktk muungano/ushirikiano ni mtu mmoja tu-- Zitto. I dont think huu ni wakati mzuri kwenu kuanza kuzungumzia masuala ya muungano na mashirikiano na vyama vingine.

cc Mkandara, Kimbunga, Nguruvi3, Alinda, Ritz

Mkuu wangu, sijui kama hujaona kuwa hizo mbili zinagongana.Zitto hakutaka kuondoka Chadema, alifukuzwa.Option ya kubaki hakuwa nayo.

Sasa yeye ni mwanasiasa, na kwa umri wake hawezi kustaafu leo, hivyo hakuwa na namna zaidi ya kutafuta uwanja wa kuendeleza harakati zake za kisiasa

Sasa kwa kuwa kuna hili suala la kugawanya kura, ndio maana Zitto akasema kama hizo kura zipo (maana wengine wana shaka ata juu ya hili maana wanaona hana impact kisiasa), kama zipo, basi kwa ajili ya CCM kuondoka madarakani yupo tayari kuepusha hilo kwa kushirikiana na UKAWA kwenye uchaguzi huu ili kutogawanya kura.

Sasa Kwa kutangaza hivyo, yeye kajisafisha juu ya suala la kugawa kura.Ni hilo tu.

Maana zaidi ya hapo sioni Zitto afanye nini zaidi ili kuepusha kugawanya kura?au mnataka Zitto atangaze kuwa anavunja chama na astaafu siasa?maana sioni tumlaumu kwa lipi zaidi ya hapo.

Kwa Chadema kama hawahitaji umoja na Zitto, waende kwenye uchaguzi kwa nguvu na wafute hiyo impact ya Zitto, wakishindwa basi hilo litakuwa sio kosa la Zitto bali itakuwa ni kosa la kufanya maamuzi kwa jazba bila kuangalia mbali.
 
Mkuu wala mimi siko hukokabisa maana Supreme ni hoja zenu kuiangusha ACT jambo ambalo mimi nawaona kama mnapoteza muda wenu maana kwa Bongo yetu ndio kwanza mnamsafisha zaidi Zitto. Kuwatoeni makosa yenu haina maana kwamba namshabikia Zitto mimi ni kama member of the jury nawasikiliza nyie na kutokuwa convinced.
Hapanaaa! kama ukweli utaiangusha ACT basi na iwe hivyo. Vinginevyo hakuna anayeweza au mwenye sababu za kuiangusha ACT. Hizo ni hisia zako tu ambazo kidemokrasia ni haki.

Ukweli utasemwa, hamuutaki lakini ndio unaweka watu huru

Ukanda unaitesa ACT! wameaminisha umma ni jambo baya sana, haa! leo wapo katika vilinge wakihubiri kwa povu. Tusiseme! ebo
 
Hapanaaa! kama ukweli utaiangusha ACT basi na iwe hivyo. Vinginevyo hakuna anayeweza au mwenye sababu za kuiangusha ACT. Hizo ni hisia zako tu ambazo kidemokrasia ni haki.

Ukweli utasemwa, hamuutaki lakini ndio unaweka watu huru

Ukanda unaitesa ACT! wameaminisha umma ni jambo baya sana, haa! leo wapo katika vilinge wakihubiri kwa povu. Tusiseme! ebo
Haswaa na haki hiyo hiyo mlonayo nami ninayo kwa kufuatilia habari nzima. Kufukuzwa kwake haikuwa halali. na madai yake yote yamedhihirishwa na Chadema wenyewe.
1. Viongozi walifanya maamuzi kinyume cha kanuni - Kweli tumeshuhudia hilo.
2. Alidai viongozi waliopo wanataka kujiongezea muda kinyume cha katiba _kweli limetokea.
3. wananichukuia hawa na siasa za Fitna - kweli tunayaona..

sasa mnataka miye nisimame na nyie kwa sababu tu Mnamuita Zitto Msaliti anayependa madaraka wakati watu wamejiongezea muhula wa tatu. yaani watakwenda miaka 15 kinyume cha kanuni walizotunga wenyewe. Ukiniuliza mimi nitakwambaia Uongozi wa Chama hauna muda wa kwisha ni vikao vya chama na mtu anaweza gombea kuongoza hawa kwa miaka 100 au wiki moja tu akionekana hafai, ila uongozi wa Taifa hapo swala jingine.

Hivyo sikubaliani na ACT, CCM wala Chadema nina misimamo yangu na hivyo kuitetea ACT ni kuwaonyesha nyie makosa mloyafanya kujipiga risasi ya bega.. Nachokifanya ni kuitoa ile risasi begani na maumivu mnayopata sio kwamba nafurahia hapana,nawaambia kwa nini mlicheza na bunduki ilokuwa na risasi ndani ya chamber?, wala siachi kusukuma kisu cha moto penye donda kujaribu kuitoa risas japo mnaumiai..
 
Hapanaaa! kama ukweli utaiangusha ACT basi na iwe hivyo. Vinginevyo hakuna anayeweza au mwenye sababu za kuiangusha ACT. Hizo ni hisia zako tu ambazo kidemokrasia ni haki.

Ukweli utasemwa, hamuutaki lakini ndio unaweka watu huru

Ukanda unaitesa ACT! wameaminisha umma ni jambo baya sana, haa! leo wapo katika vilinge wakihubiri kwa povu. Tusiseme! ebo

Ukanda unaitesa ACT??ni lini ACT imeanza kujali au kuhofia ukanda?nchi hii ukizungumzia ukanda wananchi wanapata picha ya chama kimoja tu, na sio ACT.

Unless kama unacreate hofu moyoni mwako mwenyewe na kuiamini mwenyewe.
 
Ukanda unaitesa ACT??ni lini ACT imeanza kujali au kuhofia ukanda?nchi hii ukizungumzia ukanda wananchi wanapata picha ya chama kimoja tu, na sio ACT.

Unless kama unacreate hofu moyoni mwako mwenyewe na kuiamini mwenyewe.
Kwani supreme leader alisema nini Mwanza na Shinyanga dhidi ya Arusha na Kilimanjaro?
 
Naogopa kuchangia mambo ya Zitto kwa kuwa nimeshakula BAN mbili matata sana
 
Back
Top Bottom